qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Mnalalamika hamtaki muungano lakini bado mnatujazia foleni na msongamano mjini hizo hoka si mkazifanyie kwenu asilimia kubwa ya mnaojiita wa zenji mpo bara au nje ya nchi mngekuwa na uchungu mngerudi kwenu kuchangia maendeleo kwanza hasa elimu muweze kudai nchi yenu sio kujaza sever humu huku mmejazana kariakoo.