Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

ni kweli ya ukweli Mkuu!; na hasa angekuwa rais wa jmt au ile post ya Bilali!

Vp awe Rais wa JMT wakati kuwa Rais wa znz tu ilishindikana au hukumbuki wakati bado yupo ccm alipo gombea Urais wa znz na marehem mzee Idirisa Abdul Wakil nini kilitokea ktk uchaguzi huo na mzee wakil akawa mgombea na akawa Rais wa znz kwa muhula mmoja tu? Seif amekuwa mpinzani wa ccm na muungano tokea akiwa bado hajawa na madaraka makubwa ktk smz na wakati huo mfumo ni wa chama kimoja mpaka akiwa wazir ns mpaka akiwa wazir kiongozi wa smz bado seif ni mpizani wa muungano wa serikali 2. Na ndio kilicho mfukuzisha ccm. Ndio maana seif anapendwa sana visiwani na nataka ujue seif sio tu ni katibu Mkuu wa Cuf na makamo wa 1 wa Rais wa smz, seif ni cheif / mwene ktk Ardhi za znz. Kwahiyo usiwe na imani kama ange ukwaa urais wa znz au wa Jmt angenyamaza sio kweli leo hii falsafa ya seif juu ya muungano imekubalika na mazee wa ccm znz na imewaunganisha wazee makonred wa znz na wanachana wa ccm na cuf kuwa kitu kimoja fuatilia siasa za znz utaamini haya nilio kuandikia. Leo seif, karume, salmin , mzee Moyo na wengine wengi lao moja hawautaki muungano wa serikali 2.
 
Vp awe Rais wa JMT wakati kuwa Rais wa znz tu ilishindikana au hukumbuki wakati bado yupo ccm alipo gombea Urais wa znz na marehem mzee Idirisa Abdul Wakil nini kilitokea ktk uchaguzi huo na mzee wakil akawa mgombea na akawa Rais wa znz kwa muhula mmoja tu? Seif amekuwa mpinzani wa ccm na muungano tokea akiwa bado hajawa na madaraka makubwa ktk smz na wakati huo mfumo ni wa chama kimoja mpaka akiwa wazir ns mpaka akiwa wazir kiongozi wa smz bado seif ni mpizani wa muungano wa serikali 2. Na ndio kilicho mfukuzisha ccm. Ndio maana seif anapendwa sana visiwani na nataka ujue seif sio tu ni katibu Mkuu wa Cuf na makamo wa 1 wa Rais wa smz, seif ni cheif / mwene ktk Ardhi za znz. Kwahiyo usiwe na imani kama ange ukwaa urais wa znz au wa Jmt angenyamaza sio kweli leo hii falsafa ya seif juu ya muungano imekubalika na mazee wa ccm znz na imewaunganisha wazee makonred wa znz na wanachana wa ccm na cuf kuwa kitu kimoja fuatilia siasa za znz utaamini haya nilio kuandikia. Leo seif, karume, salmin , mzee Moyo na wengine wengi lao moja hawautaki muungano wa serikali 2.

Umesahau na moja,seif ndie alieshiriki na karume(ccm) mwaka 2010 kuitangaza zanzibr ni nchi kwenye katiba ya zanzbr,hadi hapa mtoa mada nadhani amekwisha elewa ni nini seif anachohitaji.
 
Kutokana na kauli kama hizi zako, pia nimegundua kwamba wengi huko Zanzibar mnaopiga sana kelele kwamba hamuutaki muungano ni malofa tu wa mitaani msio na mbele wala nyuma kimaisha, na wala haina maana kwamba muungano ukivunjika hali zenu kimaisha zitakuwa bora. Kama sio malofa basi ni wale limbukeni wa madaraka. Mnadhani kwamba muungano ukifa basi hali zenu zitakuwa bora sana, wavivu nyie. Wengi wenu mtaendelea kuwa malofa na huenda mkawa ndio chanzo kikubwa cha machafuko yatakayotokea Zanzibar baada ya kuwa mmejitenga na bara.

Ukweli ni kwamba natamani sana muungano uvunjike ili angalau nithibitishwe, mimi na watu wengine kama kina Nyerere, kwamba tulikosea kudhani Zanzibar haitakuwa shwari baada ya muungano kuvunjika.

So bring it on, na tuuvunje muungano.

Umezidi kupotoka, nyinyi ndio mnaowatisha watu muungano ukikatika zanzibar itakuwa maskini, tokea kuasisiwa kwa muungano huu hakuna kilichotoka Tanganyika kwa manufaa ya Zanzibar zaidi ya Tanganyika kuendelea kunufaika kwa kunyonya damu ya Zanzibar.,

Tanzania Bara mumestaarika na kujuwa mambo mengi kupitia zanzibar kabla ya hapo ata kuvaa ilikuwa shida., saivi munauza nguo, mushajuwa kula ice cream alafu munasema wazanzibar ni wavivu., sasa kwanini munangangania kuungana na Zanzibar tu? zishawishini nchi nyengine kama Kenya, Ruwanda, Malawi na Ruwanda na Burundi, Zanzibar ni nchi kama nchi nyengine ikibidi kuungana na Tanganyika tukutane kwenye muungano wa Afrika Mashariki.

Sisi tuacheni tulete hawo waarabu na JK naye aache kuomba misaada nchi za kiarabu na kuwapa wazungu vitalu ataiuza tanganyika kwa wazungu
 
Nilijua utatema povu tu kama ulivyofanya, kwanza hunijui mimi ni nani. Wazawa unaowasema ni aking nani? Unafikiri kila mtu kasoma shule za kata? Kuhusu ubaguzi, Wazanzibar ndiyo mabingwa wa ubaguzi, lichukue hilo kama hulijui.

Aliyesoma shule ya kata utamtambua kwa.maneno yake tu!

We 99% ni mmoja wao.
Halafu unaongela ubaguzi! Umeshaingia ofisi ambayo boss mkuu ni mtu wa kaskazini!?
Au wale watu wa bukoba na wengineo??

Utakuta mpaka mfagiaji kabila hilo hilo!

Ndio nikasema WEWE SIO MZAWA!

Manake hayo kila mzawa anayafahamu!
 
ni kweli ya ukweli Mkuu!; na hasa angekuwa rais wa jmt au ile post ya Bilali!

Maskini ya Mungu yule mzee mwenzangu Bilal anavyomdhalilishwa in his profession he would have been in Geneva anaiwakilishaTanzania katika IAEA.
UMAKAMU gani ule wa kufunguwa hafla na kukaribisha wageni?
Amemfanywa afikiri ndio anauzwa kwa wananchi ili awe candidate wa 2015 hali inajulikana kama hapewi.
Maalim si alifungwa miaka miwili kwa kutarajia CUF itakufa kwa notion mliopandikiza eti CUF ni Seif na Seif ni CUF matokeo yake ndio muongo huo chama kile kilipata nguvu ya kukiwa na umashuhuri na kuongeza wanachama.
Mimi si mwanachama wa chama chochote so maoni yangu hayana bias hapa.
 
Vp awe Rais wa JMT wakati kuwa Rais wa znz tu ilishindikana au hukumbuki wakati bado yupo ccm alipo gombea Urais wa znz na marehem mzee Idirisa Abdul Wakil nini kilitokea ktk uchaguzi huo na mzee wakil akawa mgombea na akawa Rais wa znz kwa muhula mmoja tu? Seif amekuwa mpinzani wa ccm na muungano tokea akiwa bado hajawa na madaraka makubwa ktk smz na wakati huo mfumo ni wa chama kimoja mpaka akiwa wazir ns mpaka akiwa wazir kiongozi wa smz bado seif ni mpizani wa muungano wa serikali 2. Na ndio kilicho mfukuzisha ccm. Ndio maana seif anapendwa sana visiwani na nataka ujue seif sio tu ni katibu Mkuu wa Cuf na makamo wa 1 wa Rais wa smz, seif ni cheif / mwene ktk Ardhi za znz. Kwahiyo usiwe na imani kama ange ukwaa urais wa znz au wa Jmt angenyamaza sio kweli leo hii falsafa ya seif juu ya muungano imekubalika na mazee wa ccm znz na imewaunganisha wazee makonred wa znz na wanachana wa ccm na cuf kuwa kitu kimoja fuatilia siasa za znz utaamini haya nilio kuandikia. Leo seif, karume, salmin , mzee Moyo na wengine wengi lao moja hawautaki muungano wa serikali 2.
mimi pia siutaki muungano wa serkali.2 sikuutaka kabla hata Seif hajauona batili sababu kauona unamzibia kuwa rais wa znz na jmt! Ada ya mja hunena muungwana ni vitendo! Inashangaza kwamba!; walahi mie sitaki, walahi mie kunde sitaki huku wazila! Huoni huyo ni fasqi! Ndipo mleta uzi ameuliza huyu bwana ana matatizo gani?
 
mimi pia siutaki muungano wa serkali.2 sikuutaka kabla hata Seif hajauona batili sababu kauona unamzibia kuwa rais wa znz na jmt! Ada ya mja hunena muungwana ni vitendo! Inashangaza kwamba!; walahi mie sitaki, walahi mie kunde sitaki huku wazila! Huoni huyo ni fasqi! Ndipo mleta uzi ameuliza huyu bwana ana matatizo gani?

Ww unataka muungano wa aina gani na kwasababu zipi zilizo kufanya huu wa ser 2 uukatae na huo unao utaka una upeda kwa sbabu zipi?
 
Mimi kila siku huwa najiuliza umuhimu wa MUUNGANO huu ambao upande mmoja unalazimisha uwepo na upande mmoja hautaki uwepo.Sasa cha kujiuliza ni kwa nn kikundi kimoja cha siasa cha upande wa bara kinalazimisha kuwepo kwa muungano huu? Watueleze wanapata maslahi gani ktk muungano huu wa kulazimisha? Coz hata ukiwauliza jamaa wa Zenji wanajibu kwamba wanashangaa kwa nn tunawang'ang'ania wao wanaogopa nchi ya zenji kupotea(kumezwa)

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Ww unataka muungano wa aina gani na kwasababu zipi zilizo kufanya huu wa ser 2 uukatae na huo unao utaka una upeda kwa sbabu zipi?
ahaa! Nikupe mfano hai; wewe na mimi tumeamua kuunganisha maduka yetu!; kuna njia mbili tu! .1; uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu tuyaunganishe tuwe na duka moja la muungano!. Ima tuchukue sehemu sawa ya maduka yetu ili tuunde duka la muungano!; hii ya duka langu liwe la muungano na duka lako liwe lako tu, hiyo ni akili ya maiti tu inayoweza kukubaliana na upuuzi huo!
 
Hata sauli kabla ya kuongoka hakuwa jinsi alivyo maliza maisha yake.Seif kapata Maono huu muungano sio kabisa
 
Mimi ni Mtanganyika lakini inapotokea suala la Wazanzibar kudai Nchi yao kiukweli hunikosha roho yangu!
Na kwa taarifa yenu tu ni kwamba hata kabla halijatokea hili vuguvugu la katiba mpya wenzetu tayari walikuwa wameshajipanga kuikomboa zanzibar yao kutoka kwenye makucha ya mkoloni.
Katika mchakato huu wa katiba wadau wakuu wa mwisho ni KIKWETE+ SHEIN+SEIF, Maalim hatasign pasipo kuiona zanzibar kamili.
Na hata ikitokea mchakato usifanikiwe mpaka uchaguzi 2015, Seif ndio atashinda urais wa Zanzibar na watakapokutana na rais wa URT kwenye kuteua jina la waziri mkuu Seif atapitisha jina la JUSSA kwa shinikizo la kuvunja muungano kama rais wa urt atapinga uteuzi wa Seif.
Sasa pata picha ya timbwili litakavyokuwa kwenye baraza la mawaziri chini ya waziri mkuu Jussa, lazima CCM wafyate mkia unless muwauwe mapema JUSSA,SEIF na kundi lao.

Mkuu hata usipoteze muda kuwaza ambacho hakiwezekani Maalim asaini katiba kama nani? Au ni lini umempachika urais wa Zanzibar? Halafu swala la waziri mkuu wa 2015 hata usiwaze Maalim anaweza kuwayumbisha Wazanzibar wenzake huku bara hana wa kumtisha nyau. Kumbuka enzi za Mwalimu alivyotulizwa na usisahau kuwa kwenye siasa za Muungano na Tanzania bara influence ya Maalimu na CUF yake ni ndogo, hapo kwenye UPM labda kama CHADEMA wakiwa na nguvu ndio watakuwa na karata ya kushinikiza.
 
ahaa! Nikupe mfano hai; wewe na mimi tumeamua kuunganisha maduka yetu!; kuna njia mbili tu! .1; uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu tuyaunganishe tuwe na duka moja la muungano!. Ima tuchukue sehemu sawa ya maduka yetu ili tuunde duka la muungano!; hii ya duka langu liwe la muungano na duka lako liwe lako tu, hiyo ni akili ya maiti tu inayoweza kukubaliana na upuuzi huo #3 ! Dhahir eeh?

Nadhani hujanijibu niliyokuliza ungenijibu halafu ndio ukanipa huu mfano wako
 
Barubaru,
Naomba usinitoe kwenye kiini cha maandiko yangu. Nataka nikufahamishe kabisa kwamba, kama ni udini, Tanganyika hatunao wala hatutakaa tuwe nao. Udini hukuzwa sana na Wazanzibari. Kwetu, tunaoana na kuoleana bila kujali Kabila, Kanda, Dini. Hatuangalii ngozi bali tunaangalia maisha ya wawili hao.
Zenj, mnaangalia sana Dini na Ukabila/unasaba. Tanganyika hatuna hayo.
Kuhusu imani za kishirikina, hata huko Zenj zipo tu. Tutamaliza hili tena kwa fast trac. Usiogope.
Ati kuna rushwa na ufisadi, wapi? Tanganyika au Tanzania? Kila mahali ufisadi na rushwa ndiyo neno la siku. Hata Unguja huo upo.
Mfumo Kristu sijui uliuona wapi, kama mtu kuitwa John ni kosa kuongoza ati kwa kuwa kuna mwingine hapo anaitwa Juma basi hatuna haja ya kupiga kura kwani huyo John alichaguliwa na wote, Waislam na Wakristo mpaka wapagani. Hivyo weye kuuita huo mfumo Kristo ni kosa kubwa kwani unawafanya wengine hawana ufaham ila weye ndo mwenye huo ufaham tu. Pole sana.

Mangatara,

Mwalimu JK Nyerere (Baba wa taifa lako) aliwahi kusema katika moja ya hotba zake akanena Wazanaki wanasema “ UBUBISUBISU OBUWERE EKIRO KIRIMBURA” akiwa na maana ya MFICHAFICHA MARADHI KILIO KITAMFICHUA.

Labda nikuulize lile suala walilogombana kule Kanda ya Ziwa la NANI MWENYE HAKHI YA KUCHINJA, JE LIMEMALIZWA VIPI NA NANI ANA HAKI HIYO? Au ndo mumefunika kombe ...?

Kuuwa vikongwe na kunjofoa viungo vya albino, na kuchuna ngozi mtazimaliza kwa fast truck ipi hiyo? Kwani sasa ni miaka mingapi mumeshindwa ?

Kumbuka alipolifungua Bunge 2010 Kikwete alisema wazi suala la UDINI katika uchaguzi, Na juzi tu hapa Mbatia katika mkutano mkuu wa chama chake NCCR Mageuzi alilisema hilo, je hujui tu kama lipo au ndo unasubiri kifo kikuumbue.

Kifupi haa mambo yanafichwa na Muungano nje ya muungano ni changamoto kubwa sana kwa Tanganyika.

Pole sana
 
ahaa! Nikupe mfano hai; wewe na mimi tumeamua kuunganisha maduka yetu!; kuna njia mbili tu! .1; uvunje duka lako na mimi nivunje duka langu tuyaunganishe tuwe na duka moja la muungano!. Ima tuchukue sehemu sawa ya maduka yetu ili tuunde duka la muungano!; hii ya duka langu liwe la muungano na duka lako liwe lako tu, hiyo ni akili ya maiti tu inayoweza kukubaliana na upuuzi huo #3 ! Dhahir eeh?

Mgen,

Hapa ndio hata Mimi nilimshangaa sana Nyerere kwa kufunga kwake safari kwenye Znz kuomba waungane.
Angalia Tanganyika ina eneo la 885,800 SqKm na Znz ina eneo la 2,000SqKm. Na ukiangalia Population ya Tanganyika ni watu 45,912,768 na Znz ina watu 1562,678.

Je inawezekanaje nchi hizi zikaungana? tena muungano wa pasu kwa pasu? Je Nyerere hajawaingiza shimoni nyie?

Chukueni maamuzi magumu. wakti ni huu.

 
Kila ninaposikia kauli za Maalim Seif juu ya Muungano, ninapata picha kwamba zinazotelwa na mtu mwenye hasira sana dhidi ya serikali ya Tanzania, hususa Tanzania Bara. Sizioni kauli za Seif kama zinazotolewa na mzalendo wa Zanzibar, bali kama zinazotolewa na mtu mwenye hasira ya kisasi dhidi ya watu fulani. Katika kauli zake nyingi zimejaa "exaggeration" za hali ya juu, za aina ya mtu ambaye anataka kuwakomoa watu au kikundi fulani.

Sasa najiuliza, ni nini kinachomsumbua Maalim Seifu hadi kuwa na hasira ya namna hii?

Ni wazi kwamba si uzalendo wa kuwa M-Zanzibar. Kumbuka kwamba Seifu alitoa mchango mkubwa kwenye kuwajibishwa kwa Abdu Jumbe. Sefu alimchukulia Jumbe kuwa msaliti wa Muungano. Seifu ni mojawapo ya Wazanzibar waliofaidi na kuneemeka sana na Muungano. Bila muungano Seifu asingekuwa hapo alipo. Sasa ni nini kilimbadili Seifu? Je ni hasira baada ya kugundua ndoto yake ya kuwa Raisi wa Zanzibar isingetimia kupitia CCM? Au ni baada ya mashitaka na tuhuma alivyofanyiwa huko nyuma na sasa anataka kisasi?

Kuna mambo Seifu anataja kama faida za Zanzibar kujitoa kwenye Muungano ambayo ukifikiria utaona kwamba anawadanganya WaZanzibar kwa kuwa hayatawezekana, hata kama kweli watajitenga na muungano, kwa kuwa ni ndoto za alinacha, hayako "realistic". Sasa je, Maalimu Seifu anaona kwamba anaingia uzeeni na sasa kuna dalili kwamba kamwe hatakuwa raisi wa Zanzibar na hivyo anaona ni bora tu alivuruge?

Ni nini kinachompa hasira hii Maalim Seifu, na lengo lake ni nini hasa?

Kama kauli gani??
 
Nadhani hujanijibu niliyokuliza ungenijibu halafu ndio ukanipa huu mfano wako
nataka nataka ntaka miye! mtoto alilia pipi tena! Wee hau unaelewa maana ya mfano Hai? Halafu nawe unajiita GT! GT hatafuniwi bana! Nimejuaje kama wewe ni balahau? Umeniambia!? Jiulize utafakuri uKokotoe huo mf, Hai!. halafu uje hata na mf; mfu! humu utaeleweka tu! Na sio ili muradi unapost kujaza server kukidhi upenzi wako kwa maalim! Iseme haqu lau kanna mura ili uwe huru!
 
Sijawahi kulisikia hilo ila niliwahi kusikia Padri kapigwa risasi kama ngiri kisa ni dini yake tu. Nikasikia mtu na mkewe wameuawa na kutupwa kisimani na zege juu kisa dini.
Kipi bora, kuchinja au kumkataa mtu kwa anachokiamini yeye wala si miye? Ati 99% hata angekuwa 1 tu naye msikilizeni ndo maana ya minority

Je Vipi yale mauaji kule Katoro, Buseresere, Bwanga na Geita kuhusu NANI MWENYE HAKHI YA KUCHINJA ujawahi kuyasikia? Je Serikali yenu imetatua vipi na nani mwenye haki ya kuchinja?

 
Maskini ya Mungu yule mzee mwenzangu Bilal anavyomdhalilishwa in his profession he would have been in Geneva anaiwakilishaTanzania katika IAEA. UMAKAMU gani ule wa kufunguwa hafla na kukaribisha wageni? Amemfanywa afikiri ndio anauzwa kwa wananchi ili awe candidate wa 2015 hali inajulikana kama hapewi. Maalim si alifungwa miaka miwili kwa kutarajia CUF itakufa kwa notion mliopandikiza eti CUF ni Seif na Seif ni CUF matokeo yake ndio muongo huo chama kile kilipata nguvu ya kukiwa na umashuhuri na kuongeza wanachama. Mimi si mwanachama wa chama chochote so maoni yangu hayana bias hapa.
nikujibu kifupi tu Mukulu wane kwamba!; 'Njaa inaponza makalio!.' na ukipanda bange huwezi vuna nanasi! Teh teh teh teh!
 
Sijawahi kulisikia hilo ila niliwahi kusikia Padri kapigwa risasi kama ngiri kisa ni dini yake tu. Nikasikia mtu na mkewe wameuawa na kutupwa kisimani na zege juu kisa dini.
Kipi bora, kuchinja au kumkataa mtu kwa anachokiamini yeye wala si miye? Ati 99% hata angekuwa 1 tu naye msikilizeni ndo maana ya minority

Wale mtu na mkewe wameuwawa kwa masuala ya kudhulumiwa, aliewaibia aliwauwa kwa kuficha ushahidi. Ingekua suala la udini wangeuliwa wengi mana km wazungu znz hawako pekeyao.

Padre mushi mpk leo hata ushahidi hawana, sema kwa kuwa alieuwawa ni padre basi inachkuliwa kijujuu tu kuwa muuaji ni muislam na kauwawa kwa sbb ya dini.
 
Back
Top Bottom