Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

Na wale wazanzibar walioko Uingereza, canada na marekani pia warudi kwao? mana hatutaki tena muungano na nchi za America na ulaya

Wanyamwezi wangapi kutoka kahama na kigoma wameenda zanzibar kutafuta kazi za kulima viazi vitamu? mbona munajichanganya nyinyi? au wale wamachinga walipo pale darajan zanzibar wanaouza nyungo na dawa za panya wametokea burundi na kenya?

Hao wenyewe mnaojiita wazenji wapo wamakonde kibao kisa wamekaa huko sana eti mnajiita wazenji rudini kwenu mkalime korosho ukifuatilia asili wengi wakuja hasa zenji wamejazana wamakonde wengi.
 
Wazanzibari kuwepi kariakoo sijambo la Muungno tu. Nijambo la kihistoria kabla ya Mipaka rasmi ya UN ilio igawa Afrika ikiwemo na Afrika Mashariki. Ukumbuke kabla ya Mipaka hiyo kugawiwa D'salaam ilikuwa chini ya znz nasio D'salaam tu ni Pwani yote ya Afrika Mashariki ilikuwa chini ya utawala wa znz ndio maana unakuta wenyeji wa Pwani ya Afrika Mashariki wanauhusiano mkubwa wa kindugu kitaifa na wakitamaduni. Kwahiyo ukimkuta mzanzibari kariakoo usidhani ameletwa na Muungano tu au ukimkuta Mziguwa,Mdengereko, Mdigo,Mzaramu nk Malindi usidhani ni muungano tu ndio umewapeleka Malindi znz.Angalia mzee Abud Jumbe Mzee Ali Hasan Mwinyi Asili yao mze Salmin Amour asili yake kwa faida yako tu znz ilikuwa na maingiliano mpaka Malawi, Zaire ya kivu ndio maana mzee karume alihamia znz akitokea Malawi Nyasa Land .kwahiyo ondoa fikra zako kuwa Mznzibari ni mgeni kko.Na ukiangalia Historia hii ndio panapo patikana ugmu wa kuvunja Muungano zaidi ni kuuboresha na kuondowa kero za pande zote 2 za Muungano..Unataka kuniambia Muungano ukivunjika Mzee Mwinyi, Mzee Jumbe;Mzee Salmini utwapeleka wo znz au Tanganyika? Achilia Mbali Familia ya Marehem Mzer karume hii tunaweza kumuomba Mama banda Rais wa Malawi akaja kuchukuwa Jamaazake.Lakini na ww ukae mkao wa kula maana hapo kko kuna watu wengi mpaka wachina wapo na hata Wanyruanda wa Tutsi na Wahutu sasa isiwe ww ni hao Jsmaa zake Kagame hutobaki hapo.

Dah!umefunga mjadala,heko.
 
Sielewi why Seif Sharrif Hamad anabebeshwa lawama za Zanzibar kutaka kuwa na madaraka kamili ndani ya muungano!! Kwa maoni yangu Zanzibar inao uwezo wa kupiga hatua kubwa ya maendeleo nje ya Muungano kama wananchi wake watajiamini na kufanya kazi kwa bidii!

Wanaokwamisha ni baadhi ya viongozi wa CCM Zanzibar ambao nawaze waita vibaraka wa CCM Tanganyika ambao wanajua mwisho wa utawala wao ni pale watakapo achwa mkono na Tanganyika! Nawasifu Sheif Sharif na Amani Karume ambao mhafaka wao ulizaa Katiba ya Zanzibar ambayo sasa imekua kitanzi kwa maCCM yanapotaka kuchakachua Rasimu ya Katiba mpya.
 
Ww na Lisu hamuna tifauti waalimu wenu wa sheria ni makajanja
ujanja kupata na sio kuwahi! Mnaliwa kipunjo mwachekelea tu! ooh znz nchi, tuna ktb, bendera...Hivyo vyoote bila kamanda kuwaruhu mnachukua mkong'oto kama jibwa jizi tu! Sawa hau!
 
ujanja kupata na sio kuwahi! Mnaliwa kipunjo mwachekelea tu! ooh znz nchi, tuna ktb, bendera...Hivyo vyoote bila kamanda kuwaruhu mnachukua mkong'oto kama jibwa jizi tu! Sawa hau!

Kadri munavyoikumbatia zanzibr ndio kadri mnakuwa mafukara watanganyika,tunahakikisha wizara zote za tanganyika tunashika wazbr huku kwetu ardhi marufuku kushika,kisha tuone nani mjanja.
 
nadhani naweza kujadili mahakama ya kadhi ingawa naona nalazimishwa kutoa hoja wakati nikiendelea kutafiti kuhusu extent ya kile kinachoitwa udini katika taifa letu.

Naomba wakuu mnipe muda mtaburudika na kujifunza mengi na kwa vile ni topici tete[sensitive topic]naomba mnipe time nitawajibu.

Ila kwa sasa ninayo machache:

inaonekana kabisa watu wanachanganya baina ya mahakama ya kadhi na mfumo wa mahakama nchini au zile zinazoitwa mahakama za kiislamu kwa mujibu wa sheria kamili za dini hiyo ya kiislamu kama katika maeneo ya somalia na kwingineko.

Nielewavyo mahakama ya kadhi iliwahi kuwepo huko nyuma ikifanya kazi sambamba kabisa na mfumo wa sasa, hii mahakama kadhi yake ni kutoa suluhisho kwa mambo ya kawaida ya waislamu kama vile matatizo ndani ya ndoa hadi kufikia talaka!mirathi na mengineyo. sina hakika sababu hasa zilizopelekea mahakama hiyo kufutwa lakini sidhani kama it is anything to do with political unity manake haina uwezo wa kugawanya watu kiimani kabisa.

Kule zanzibar mahakama ya kadhi bado ipo na inaexist kikatiba kabisa ya zanzibar lakini mtu anaweza kucounter argue kwamba kadhi wa zanzibar ni presidential appointee[very strange!] na bajeti yake ipo hasa katika mfuko wa jamii zanzibar.

sasa nipo puzzled kiasi na suala kwa sababu mbili:

1. maaskofu wtu hawa hawa wakati wa kampeni waliwahi kusema kikwete ni chaguo la mungu,walifanya hivyo ilhali walikuwepo viongozi ambao naamini ni wakristo katika kinyang'anyiro cha urais kama vile mbowe, mrema na wengineo lakini hawakufanya ajizi wala udini wakadai ni chaguo la mungu, sijui maaskofu wetu hawakuisoma ilani ya chaguo la mungu au walivutiwa na mgombea tu na sio anayoyaahidi manake kama wangesoma wangeona kuwa CCM imeahidi kuweka mahakama ya kadhi!

2.Naona ukiangalia katika waislamu wengi wenye uelelewa wa kawaida utaona kwamba katika vitu ambavyo huwa wananung'unika dhidi ya serikali, mahakama ya kadhi haimo kabisa katika orodha, awali wakati wa uchaguzi nilidhani hii ni ajenda ya ccm kutaka kuonesha kwamba wapo beneti na waislamu lakini sasa naona inaprove ngumu kwao ikiwa waziri mary nagu anaetakiwa kusimamia ilani ya ccm katika mfumo wa sheria anapogwaya na hilo

Hivyo nadhani kuna a bit of dilemma in terms ya walioandika na wanachokidai maaskofu lakini ni wajibu wao kuionya serikali ksama viongozi wa kijamii natumai wametumia haki yao ya msingi kikatiba kutoa maoni hayo.

Just a piece of ushauri kwa viongozi wetu wa kidini, tusikurupuke kuwapa viopngozi wetu wa kisiasa hadhi za kiimani kwani politics ni mchezo tofauti kabisa na pili kwa viongozi wetu tulenge katika umoja zaidi kuliko kuserve individual interests!

naomba kutoa hoja
kwa ardhi gani mliyonayo mtwara tu ni kubwa kushinda kanchi kenu.
 
Kadri munavyoikumbatia zanzibr ndio kadri mnakuwa mafukara watanganyika,tunahakikisha wizara zote za tanganyika tunashika wazbr huku kwetu ardhi marufuku kushika,kisha tuone nani mjanja.
penye udhia tupa rupia! Samaki bila chambo utampataje akiwa baharini? Haukumbuki msemo ule wa cha mwenzio mavi kula uliwe? Kweli ni akili kumuuza mama yako znz kwa ajili ya mapupu ya nguruwe? Kuleni tu! Teh teh teh teh!
 
penye udhia tupa rupia! Samaki bila chambo utampataje akiwa baharini? Haukumbuki msemo ule wa cha mwenzio mavi kula uliwe? Kweli ni akili kumuuza mama yako znz kwa ajili ya mapupu ya nguruwe? Kuleni tu! Teh teh teh teh!

Ulisikia wapi udikteta umedumu?na ukubwa wenu wote huo bado kanisa lina hofu na zanzibr,nyuki hakumbatiwi.
 
Ulisikia wapi udikteta umedumu?na ukubwa wenu wote huo bado kanisa lina hofu na zanzibr,nyuki hakumbatiwi.
hee? Kanisa linahusikaje hapa? Yaani mbaazi kukosa maua ndio wasingizia jua? Si nimekwambia kwamba tumbo linaponza makalio hau? Waambieni hao viongozi wenu watembeao na mavx kwamba mbona matumbo yenu yaponza makalio yetu? Tena hata kwa bakora! La sivyo mbele ya Allah mtatoa hesabu gani wakti znz mmeiuza kwa kupata mapupu na hashua za nguruwe? daa!?
 
ujanja kupata na sio kuwahi! Mnaliwa kipunjo mwachekelea tu! ooh znz nchi, tuna ktb, bendera...Hivyo vyoote bila kamanda kuwaruhu mnachukua mkong'oto kama jibwa jizi tu! Sawa hau!

Mgen endelea na Bombwe mm sio wa hayo maandiko yako
 
unajua pasco nakuheshim sana ktkana na weled wko wkucomment bt at the some time cc wasomi unatuboa ktkn sijui unafanya kusudi au una udhaif some where ,hutofautishi baina ya theory na propaganda japokuwa vinakaribiana ila sishangai sana hzo kw 70% ndvyo baba wenu wa taifa alivyopropagate na akawalisha sumu ,sasa ndugu yangu jirekebishe hasa unapoongelea znz coz huijui history yake nd hvy blah blah tu sijui okello...... Sijui ...........,nliskiliza mada yako moja nlichoka wallah ,sincerely nimekuelewa ni mtu wa aina gn ktk hyo comment yko mwisho

msomi gani wewe unayejiita msomi, embu uandishi kama huu nenda kwa wasomi wenzio wa divisheni five huko kwenye facebook ndo mtaelewana sio jukwaa hili unaleta uandishi wa kipuuzi huu.
 
Hiyo sio sababu ya kuifanya znz kuingia vitani pindi muungano ukivunjika hui ni mtazamo finyu sana watu wamezidu kustaarabika dunia ya leo sio ya jana wala juzi

Unaiona sudan ya kusini ? tatzo la wazanzibar they are so emotional.., na tulipofikia hapa ni vema tukatengana tu coz mnajiona u are so special..,
 
Unaiona sudan ya kusini ? tatzo la wazanzibar they are so emotional.., na tulipofikia hapa ni vema tukatengana tu coz mnajiona u are so special..,

Umejuaje kama mm ni mzanzibari? naona unatetea halafu unahukumu ndio maana hata maelezo yako mengi yanachanganya mara hivi mara vile unapojalidi jambo kwanza kabisa lazima uwe nauweledi nalo na usiruke ruke jaribu kuandika maneno yenye mshiko sio dhana au chuki binafsi. Mm sio Mznz wala Mtanganyika Mm ni Mtanzania lakini naelewa seif ninani na anataka nini na ufaham mm sio cuf mm ccm tena wakuzaliwa na kusoma. Na siipendi cuf lakini namtamani leo hii seif arudi ccm namjua uwezo wake.na mm sio muumini wa serikali 2 wala 3 wala serikali ya Mkataba
 
ujanja kupata na sio kuwahi! Mnaliwa kipunjo mwachekelea tu! ooh znz nchi, tuna ktb, bendera...Hivyo vyoote bila kamanda kuwaruhu mnachukua mkong'oto kama jibwa jizi tu! Sawa hau!

We padri mgen .

Kabla ya kulijadili suala la wazanzibari hebu wasaidie mawazo wale wachungaji wenzako wanaotafuna wanakondoo wachanga!

Manake hizi kesi zimekuwa nyingi mno mpaka zinakera sasa.
 
Last edited by a moderator:
We padri mgen . Kabla ya kulijadili suala la wazanzibari hebu wasaidie mawazo wale wachungaji wenzako wanaotafuna wanakondoo wachanga! Manake hizi kesi zimekuwa nyingi mno mpaka zinakera sasa.
kama sio kiduduwasha na kihere here waende polisi bana!
 
Last edited by a moderator:
Seif anaumwa kichaa cha kupishana na urais wa Zanzíbar, anafikiri urais ni rahisi kama kufuga ndevu
 
Seif anaumwa kichaa cha kupishana na urais wa Zanzíbar, anafikiri urais ni rahisi kama kufuga ndevu

Labda anakichaa cha kuifikira pepo Lakini Urais anao sasa hivi hasumbuani na wahuni wa daladala na wauza mihogo pale buguruni sokoni wakati akienda kwenye ofisi yao ya cuf tofauti na zamani alipo kuwa ana tumia Nissan Patro mbovu ya Cuf . Sasa hivi anakwenda na mfasara wa gari zisizo punguwa 5 na pikipiki 1 na vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Muungano Wa Tz vikihakikisha usalama wake.je hujaamini kama seif ni Mmoja wa Marais waliopo ktk Jamhuri ya Muungano Wa Tz?
 
Hao wenyewe mnaojiita wazenji wapo wamakonde kibao kisa wamekaa huko sana eti mnajiita wazenji rudini kwenu mkalime korosho ukifuatilia asili wengi wakuja hasa zenji wamejazana wamakonde wengi.

Zanzibar ni visiwa ambavyo historia yk inaonyesha kutawaliwa na waarab kwa kiasi kikubwa kwa hiyo wazawa wengi au karibu wote ni wenye asili ya kirabu, ndio mana ngozi yetu ni tofauti na wanyamwezi kutoka Tanganyika,

wale wauza nyungo wote ni vichogo wabongo kutoka mikoa mbali mbali ya tanganyika,
 
Back
Top Bottom