Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 14,241
- 26,039
- Thread starter
- #21
Hatutaki muungano na watu wasio na ustaarabu,, Tanganyika
Mkuu, maswali mawili kwako;
1. Ustaarabu maana yake nini?
2. Mnataka muungano na nani basi?
Hatutaki muungano na watu wasio na ustaarabu,, Tanganyika
Hebu tuacheni tupumue, hatulitaki hili dubwasha liitwalo muungano, Watanganyika mnachekesha, nyinyi mmejaaliwa ukubwa wa ardhi lakini badi mnaingangania Zanzibar. Kaeni na Tanganyika yenu tuachieni Zanzubar yetu tuchachoka na chokochoko zenu
Kila ninaposikia kauli za Maalim Seif juu ya Muungano, ninapata picha kwamba zinazotelwa na mtu mwenye hasira sana dhidi ya serikali ya Tanzania, hususa Tanzania Bara. Sizioni kauli za Seif kama zinazotolewa na mzalendo wa Zanzibar, bali kama zinazotolewa na mtu mwenye hasira ya kisasi dhidi ya watu fulani. Katika kauli zake nyingi zimejaa "exaggeration" za hali ya juu, za aina ya mtu ambaye anataka kuwakomoa watu au kikundi fulani.
Sasa najiuliza, ni nini kinachomsumbua Maalim Seifu hadi kuwa na hasira ya namna hii?
Ni wazi kwamba si uzalendo wa kuwa M-Zanzibar. Kumbuka kwamba Seifu alitoa mchango mkubwa kwenye kuwajibishwa kwa Abdu Jumbe. Sefu alimchukulia Jumbe kuwa msaliti wa Muungano. Seifu ni mojawapo ya Wazanzibar waliofaidi na kuneemeka sana na Muungano. Bila muungano Seifu asingekuwa hapo alipo. Sasa ni nini kilimbadili Seifu? Je ni hasira baada ya kugundua ndoto yake ya kuwa Raisi wa Zanzibar isingetimia kupitia CCM? Au ni baada ya mashitaka na tuhuma alivyofanyiwa huko nyuma na sasa anataka kisasi?
Kuna mambo Seifu anataja kama faida za Zanzibar kujitoa kwenye Muungano ambayo ukifikiria utaona kwamba anawadanganya WaZanzibar kwa kuwa hayatawezekana, hata kama kweli watajitenga na muungano, kwa kuwa ni ndoto za alinacha, hayako "realistic". Sasa je, Maalimu Seifu anaona kwamba anaingia uzeeni na sasa kuna dalili kwamba kamwe hatakuwa raisi wa Zanzibar na hivyo anaona ni bora tu alivuruge?
Ni nini kinachompa hasira hii Maalim Seifu, na lengo lake ni nini hasa?
Zanzibar in a siri nyingi!, tafuta kisa cha Sultan kumpachika ujauzoto mjakazi wa mkewe, ili kuficha siri, huyo mjakazi alikwenda kuozeshwa mahali mbali chap chap!, baadaye, mwana sulatan alizaliwa huko mjakazi alikoolewa!. Find out huyo mwana sulatan ni nani?!, tafuta uhusiano kati ya Sultanet ya Brunei na Sultanet ya Zanzibar!, find out who funds CUF and why?!.
Kwa taarifa tuu, CUF ilishinda 1995, ikashinda tena 2000!, pia ikashinda 2005!, na kushinda tena 2010 lakini kote kwa nini hawampi ushindi?!.
Visa vya Zanzibar havikuishia hapo, kuna ndugu tena wengine wawili, watoto wa baba mmoja, mama mmoja, tumbo moja!. CCM ikaamua kumzawadia urais kaka mkubwa, kisa ni kumuenzi baba yao aliyoifanyia makubwa Zanzibar, hivyo ule urais ulikuwa ni wa zawadi ya heshima ya marehemu babsa yao!. Baada ya kaka mtu kumaliza kipindi chake cha urais cha miaka 10!, mdogo mtu akachukua fomu kumrithi kaka mtu!. Chama kikamshauri, kwa vile aliyemaliza ni kaka yake wa tumbo moja, baba mmoja, mama mmoja!, hivyo kumpitisha mdogo mtu, itaonekana kama usultani!, mdogo mtu akagoma na kuibuka na madai mazito!, kuwa eti kama urais ni zawadi kwa mtoto wa yule Mzee waliomuheshimu, then "mtoto halisi aliyestahili ni yeye!".
Zanzibar haieshi vituko!, nataka niwashauri wajumbe wa bunge la katiba kuhakikisha Mwenyekiti wa kudumu anakuwa Mzanzibari, ili hoja ya serikali tatu ikishindwa, ije hoja ya serikali moja ndio itaimarisha haswa muungano na kuwakata kabisa hawa vilimimili na vitimbakwiri vya kutaka kuuvunja huu Muungano wetu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.
Mapinduzi Daima!.
Muunganno Milele!.
Pasco
Kila ninaposikia kauli za Maalim Seif juu ya Muungano, ninapata picha kwamba zinazotelwa na mtu mwenye hasira sana dhidi ya serikali ya Tanzania, hususa Tanzania Bara. Sizioni kauli za Seif kama zinazotolewa na mzalendo wa Zanzibar, bali kama zinazotolewa na mtu mwenye hasira ya kisasi dhidi ya watu fulani. Katika kauli zake nyingi zimejaa "exaggeration" za hali ya juu, za aina ya mtu ambaye anataka kuwakomoa watu au kikundi fulani.
Sasa najiuliza, ni nini kinachomsumbua Maalim Seifu hadi kuwa na hasira ya namna hii?
Ni wazi kwamba si uzalendo wa kuwa M-Zanzibar. Kumbuka kwamba Seifu alitoa mchango mkubwa kwenye kuwajibishwa kwa Abdu Jumbe. Sefu alimchukulia Jumbe kuwa msaliti wa Muungano. Seifu ni mojawapo ya Wazanzibar waliofaidi na kuneemeka sana na Muungano. Bila muungano Seifu asingekuwa hapo alipo. Sasa ni nini kilimbadili Seifu? Je ni hasira baada ya kugundua ndoto yake ya kuwa Raisi wa Zanzibar isingetimia kupitia CCM? Au ni baada ya mashitaka na tuhuma alivyofanyiwa huko nyuma na sasa anataka kisasi?
Kuna mambo Seifu anataja kama faida za Zanzibar kujitoa kwenye Muungano ambayo ukifikiria utaona kwamba anawadanganya WaZanzibar kwa kuwa hayatawezekana, hata kama kweli watajitenga na muungano, kwa kuwa ni ndoto za alinacha, hayako "realistic". Sasa je, Maalimu Seifu anaona kwamba anaingia uzeeni na sasa kuna dalili kwamba kamwe hatakuwa raisi wa Zanzibar na hivyo anaona ni bora tu alivuruge?
Ni nini kinachompa hasira hii Maalim Seifu, na lengo lake ni nini hasa?
Mkuu Synthesizer, umefika wakati tuite koleo kwa jina lake: kwangu mimi Maalim ni mtu mbinafsi, mnafiki, egoist and a remarkable genius. Sijapata maneno halisi ya kiswahili kwa baadhi ya hizo sifa zake. Nadhani inatosha kutoa majibu kwa mshangao uliouelezea kwenye mada yako.
Loh......maajabu haya......eti msomi....mh??????
Hatutaki muungano na watu wasio na ustaarabu,, Tanganyika
Mtafutieni kila majina mumpe lakini roho inakuumeni sn., ndio yeye aliyewaamsha watanzania kutoka kiza kinene na kuelekea kweupeni., kumchukia ww na familia yk is good for nothing., we respect him, we support him very much.,
Nyinyi tengenezeni midoli ya Julius Nyerere mueke majumbani mwenu muiyabudu tena mukimuomba kwa shida zenu., Judder!
Hatutaki muungano na watu wasio na ustaarabu,, Tanganyika
Hebu tuacheni tupumue, hatulitaki hili dubwasha liitwalo muungano, Watanganyika mnachekesha, nyinyi mmejaaliwa ukubwa wa ardhi lakini badi mnaingangania Zanzibar. Kaeni na Tanganyika yenu tuachieni Zanzubar yetu tuchachoka na chokochoko zenu
pole sana kwa kujitia wazimu kichwani., hiyo ndio khofu yenu kwamba maalim akiwa rais zanzibar atamleta mwarabu na kurudisha utumwa lakini pia muna wasiwas kwa udhalim munaoendelea kuufanya CCM kwamba maalim akipata madaraka atakufungeni jela na kuvunja Muungano, ndio upeo wenu wa mawazo hamlaumiki muna akili za samaki
Tanganyika inakuwasha nini hadi ushindwe kuitamka wazi wazi na kutumia jina la Tanzania bara? Huwa napata hasira na kichefuchefu pale ninapokuta mtu analazimisha kuibatiza Tanganyika kuwa Tanzania bara. Mbona Zanzibar wao hawaionei nchi yao aibu wakaiita Tanzania visiwani? Tupunguze ujinga na tuthamini historia yetu na utaifa wetu. Pointi yako No: 2 hapo juu ni utumbo mtupuFumu, mimi binafsi sipendi ushirikiano wa kubembeleza mtu tuwe na uhusiano. Najua asilimia kubwa ya Wa-Zanzibar hawataki Muungano, na sipendi kabisa kuona wanaendelea kuwa katika kitu wasichokitaka. Nadhani hata huku bara watu wameshoshwa na vituko vya Zanzibar, na hakuna anaewataka. Tuwabembeleze kwani sie tunafaidika nini na Zanzibar ati? Kama ni mafuta huenda tunayo mengi kuliko yanayoweza kuwa Zanzibar, na wala hamna uhakika kama kweli yamepatikana.
Ila utashi wangu ni kwamba, ikiwa tunakubaliana kuvunja muungano basi mambo yafuatayo yanzingatiwe;
1. Ili kuzuia uwezekano wa kuja kunyanyaswa hapo baadaye, Watanzania bara waliko Zanzibar warudi kwao bara na wale walioko bara warudi kwao Zanzibar. Serikali zitakubaliana jinsi ya kuwarudishia mali zozote zisizohamishika walianzazo huko, ikiwa watashindwa kuziuza. Wale walioona kati ya Watanzania Bara na Visiwani wataruhusiwa kuchagua wanataka kuishi wapi.
2. Tanzania bara, ambayo iliacha kutumia jina Tanganyika huko nyuma iwe na uhuru wa kuendelea kutumia jina Tanzania ikitaka, kutokana na "branding" ambayokwa kiasi kikubwa imefanywa na Tanzania bara, na pia kwa kuwa Tanzania bara kuendelea kutumia jina Tanzania hakutaiathiri Zanzibar kwa namna yoyote. Tanzania inaweza pia kuchagua jina lolote jingine.
3. Mpaka wa baharini kati ya Zanzibar na Tanzania bara uwekwe kwa kufuata kanuni ya "international midline"
4. Utaratibu wa visa kati ya Tanzania Bara na Visiwani uanze mara moja ili kudhibiti muingiliano wa watu usio na uaratibu
Zenji na mnavyozaana kama panya...... mkijaa humo baada ya muungano kuvunjika mtaishi majini kama samaki:sly::sly:
Kila ninaposikia kauli za Maalim Seif juu ya Muungano, ninapata picha kwamba zinazotelwa na mtu mwenye hasira sana dhidi ya serikali ya Tanzania, hususa Tanzania Bara. Sizioni kauli za Seif kama zinazotolewa na mzalendo wa Zanzibar, bali kama zinazotolewa na mtu mwenye hasira ya kisasi dhidi ya watu fulani. Katika kauli zake nyingi zimejaa "exaggeration" za hali ya juu, za aina ya mtu ambaye anataka kuwakomoa watu au kikundi fulani.
Sasa najiuliza, ni nini kinachomsumbua Maalim Seifu hadi kuwa na hasira ya namna hii?
Ni wazi kwamba si uzalendo wa kuwa M-Zanzibar. Kumbuka kwamba Seifu alitoa mchango mkubwa kwenye kuwajibishwa kwa Abdu Jumbe. Sefu alimchukulia Jumbe kuwa msaliti wa Muungano. Seifu ni mojawapo ya Wazanzibar waliofaidi na kuneemeka sana na Muungano. Bila muungano Seifu asingekuwa hapo alipo. Sasa ni nini kilimbadili Seifu? Je ni hasira baada ya kugundua ndoto yake ya kuwa Raisi wa Zanzibar isingetimia kupitia CCM? Au ni baada ya mashitaka na tuhuma alivyofanyiwa huko nyuma na sasa anataka kisasi?
Kuna mambo Seifu anataja kama faida za Zanzibar kujitoa kwenye Muungano ambayo ukifikiria utaona kwamba anawadanganya WaZanzibar kwa kuwa hayatawezekana, hata kama kweli watajitenga na muungano, kwa kuwa ni ndoto za alinacha, hayako "realistic". Sasa je, Maalimu Seifu anaona kwamba anaingia uzeeni na sasa kuna dalili kwamba kamwe hatakuwa raisi wa Zanzibar na hivyo anaona ni bora tu alivuruge?
Ni nini kinachompa hasira hii Maalim Seifu, na lengo lake ni nini hasa?