Alikuwa innovative. Alitaka wezi warudishe hela.
Marekani ukiiba kuku utafungwa na kuku utamtapika kupitia restitution and forfeiture. Ukiwa drug dealer Marekani unafungwa halafu wanakuja nyumbani au barabarani wanakomba magari yako ya kifahari. Ukipata mshahara baada ya kutoka jela maisha yako yote cheki wanailamba kama yote mpaka deni liishe. Ukifungua account wanafanya bank seizure! Unaishi masikini mpaka deni liishe.
Tanzania hatuna mifumo ya kufuatilia mali za mtu. Akajaribu kuuza nyumba za Lugumi yakashindikana.
Kada ya sheria alilalamika imeoza. Hana mwanasheria hata mmoja anaeweza kuendesha white color crime akashinda. Wanasheria wetu tumewazoesha eti katikati ya kesi anafuta anakukamata tena, akishindwa kesi anaifungua kivingine. Trial and error, ovyo ovyo.
Marekani state prosecutor anapata only one freaking chance, kwa saab ya "double jeorpady" rights. Kwa hiyo anakuwa makini na mashitaka yake. Kwanza Marekani humshtaki mtu mpaka baraza la wazee liseme tuhuma zina mashiko, grand jury indictment. Mawakili wao wa serikali wanakuwa viwembe! Federal prosecutors wanashinda 99.6% of the times (Pew Research Center). Hapa kwetu wameoza wote.
Afanyeje ????
Na alikuwa yeye mtu mmoja peke yake nchi nzima anaekesha usiku thinking and straining for answers to massive existential crises facing the nation.
Akaona awabane mahabusu warudishe hela. Afanyeje, awaachie ??