Tunahitaji mahakama ya Katiba ya kudumu

Tunahitaji mahakama ya Katiba ya kudumu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
62,732
Reaction score
105,410
Kama bado tuna mpango wa kuendelea na mfumo wa vyama na demokrasia kama nchi inabidi kuwa na Mahakama maalumu ya Katiba ya kudumu kama vile South Africa, Zambia na Senegal kushugulika na kesi zote za kikatiba na kesi zinazohusu uchaguzi wa viongozi wa serikali.

Mfumo wa mahakama tulio nao wa mahakama una tatizo kubwa la utoaji haki kwa ujumla lakini zaidi unatamuka vibaya sana kukandamiza haki za raia za kuchagua na kuchaguliwa.
 
Kama bado tuna mpango wa kuendelea na mfumo wa vyama na demokrasia kama nchi inabidi kuwa na Mahakama maalumu ya Katiba ya kudumu kama vile South Africa, Zambia na Senegal kushugulika na kesi zote za kikatiba na kesi zinazohusu uchaguzi wa viongozi wa serikali.

Mfumo wa mahakama tulio nao wa mahakama una tatizo kubwa la utoaji haki kwa ujumla lakini zaidi unatamuka vibaya sana kukandamiza haki za raia za kuchagua na kuchaguliwa.
Wazo zuri, lakini kwenye mahakama hiyo ya katiba huu upuuzi wa amri toka juu hautakuwepo?
 
Wazo zuri, lakini kwenye mahakama hiyo ya katiba huu upuuzi wa amri toka juu hautakuwepo?
Angalau huwa zina masharti ya kusikiliza kesi ndani ya kipindi maalumu cha muda, kesi kama za CHADEMA na Lissu zingesikilizwa na kumalizwa kabla ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom