Ni nini hatma ya Mahakama ya Mafisadi?

Ni nini hatma ya Mahakama ya Mafisadi?

Sasa watuhumiwa wote wako mtaani unataka nini tena?
Plea bargain iliwekwa mshaloloma kwamba kwanini iliwekwa sijui hela hazionekani.
Hivi ingekua mwendazake angetaka hao mafisadi waoze jela kungekua na plea bargain?
Mbabwabwaja sana sababu mnajua kafa hawezi kuwajibu ila Mungu yupo atawapa majibu matamu tu.
Focus kwenye mambo yako ya uganga wa kienyeji ikusaidie kutafta hela ya kula sio kumshambulia marehemu tu
Umeguswa kijambi?
 
It
Hii mahakama iliasisiwa na Mwendazake Pombe Magufuli John alipokuwa Rais kwa kulazimisha wa awamu ya tano.
Haipo kikatiba
Haipo kisheria
Haipo kwenye ilani ya chama. Iliasisiwa kwa maono kimo cha mbilikimo! Kwa kutumia nguvu kubwa na maarifa kidogo.

Sikumbuki kuona kesi zilizohukumiwa na hii Mahakama (nakubali kukosolewa). Nyingi ushahidi umekuwa ni changamoto hivyo kufanya zisuesue. Nyingi ni za kisiasa na kukomoana. Nyingine zilikuwa za visasi na kubambikiwa.

Matendo ya Mungu si ya binadamu. Pombe Magufuli hatunaye tena na zimeshatimia siku 100 na ushee toka atwaliwe kutoka maisha haya. Mama Samia Rais wa sasa ameonesha nia njema ya kutofautiana na mtangulizi wake. Walioitwa mafisadi na kupewa kesi kubwa kubwa za uhujumu uchumi wanafutiwa mashtaka na kuachiwa huru.

Waliokuwa wamehukumiwa kisiasa na kulipishwa faini za dhuluma wanarudishiwa pesa zao! Huu ni mwanzo wenye nia njema..Kazi bado ni pevu na kuna mengi ya kuweka sawa. Na mojawapo ya hayo ni hii mahakama ya mafisadi! Tunasubiri kuona hatima yake na hasa ikivunjiliwa mbali na kuokoa kodi zetu

Mama unapitapita huku. Naamini utasoma na hili.
Itabakia kutusaidia kuzitafuta plea bargain zetu,zilizotoka kwenda china, Madagascar na kwingineko duniani 🤔
 
Mafisadi ndio yameshika hatamu hiyo mahakama itakosa wateja kwa muda mrefu sana.

Watendaji wake wahamishiwe kwingine tu kwa muda mpaka waje watu walio serious na kuendesha nchi.
 
Sasa watuhumiwa wote wako mtaani unataka nini tena?
Plea bargain iliwekwa mshaloloma kwamba kwanini iliwekwa sijui hela hazionekani.
Hivi ingekua mwendazake angetaka hao mafisadi waoze jela kungekua na plea bargain?
Mbabwabwaja sana sababu mnajua kafa hawezi kuwajibu ila Mungu yupo atawapa majibu matamu tu.
Focus kwenye mambo yako ya uganga wa kienyeji ikusaidie kutafta hela ya kula sio kumshambulia marehemu tu
Ndugu babukijana hivi kichwa chako kimebeba nywele tu? Sidhani kama una akili hata ya kufuzu Shule ya msingi.

Unaowaita mafisadi wako nje wanatembea huru, kwa taarifa yako watu hao walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5. Pamoja na kuwa na Mahakama specific kwa mafisadi na yeye kuwaweka rumande, lakini hakuna hata mtuhumiwa mmoja aliyekutwa na hatia ya ufisadi. Kama kuna ushahidi wa ufisadi mwaka mmoja tu unatosha kuthibitisha na kum convict mtuhumiwa.

Magufuli àlitawaliwa na HULKA mbaya dhidi ya watu wenye utajiri na hiyo ilimfanya ahisi kila mwenye hela ni FISADI, kumbe FISADI papa ni yeye mwenyewe
 
Sasa unataka mafisadi wajishtaki wenyewe tena?Mafisadi wamerudi kuongoza.
 
Ndugu babukijana hivi kichwa chako kimebeba nywele tu? Sidhani kama una akili hata ya kufuzu Shule ya msingi.

Unaowaita mafisadi wako nje wanatembea huru, kwa taarifa yako watu hao walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5. Pamoja na kuwa na Mahakama specific kwa mafisadi na yeye kuwaweka rumande, lakini hakuna hata mtuhumiwa mmoja aliyekutwa na hatia ya ufisadi. Kama kuna ushahidi wa ufisadi mwaka mmoja tu unatosha kuthibitisha na kum convict mtuhumiwa.

Magufuli àlitawaliwa na HULKA mbaya dhidi ya watu wenye utajiri na hiyo ilimfanya ahisi kila mwenye hela ni FISADI, kumbe FISADI papa ni yeye mwenyewe
Ndugu babukijana hivi kichwa chako kimebeba nywele tu? Sidhani kama una akili hata ya kufuzu Shule ya msingi.[emoji817][emoji818]
 
Sasa unataka mafisadi wajishtaki wenyewe tena?Mafisadi wamerudi kuongoza.
Unaowaita mafisadi walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5 na hakuna hata mmoja aliyekuwa na HATIA.

Hata ukimchukia Tajiri kwa vile wewe huna fedha haikusaidii kitu. Dawa ni kutafuta fursa za kupata fedha tu
 
Unaowaita mafisadi walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5 na hakuna hata mmoja aliyekuwa na HATIA.

Hata ukimchukia Tajiri kwa vile wewe huna fedha haikusaidii kitu. Dawa ni kutafuta fursa za kupata fedha tu
Na kuna pesa trillions zimefichwa China na Seychelles na waliozificha wanajuana.. Na kiongozi anajulikana.. Je tulipiga kelele za mafisadi ili tuwapore mali zao na kuzifanya zetu?
 
Ndugu babukijana hivi kichwa chako kimebeba nywele tu? Sidhani kama una akili hata ya kufuzu Shule ya msingi.

Unaowaita mafisadi wako nje wanatembea huru, kwa taarifa yako watu hao walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5. Pamoja na kuwa na Mahakama specific kwa mafisadi na yeye kuwaweka rumande, lakini hakuna hata mtuhumiwa mmoja aliyekutwa na hatia ya ufisadi. Kama kuna ushahidi wa ufisadi mwaka mmoja tu unatosha kuthibitisha na kum convict mtuhumiwa.

Magufuli àlitawaliwa na HULKA mbaya dhidi ya watu wenye utajiri na hiyo ilimfanya ahisi kila mwenye hela ni FISADI, kumbe FISADI papa ni yeye mwenyewe
Nyie ndo walewale mnapinga tu kilakitu na mnarusha lawama kwa mfu mlivyo wanafki kwasababu tu hayuko hai pumbavu zenu angekuwepo mngekua mmebana matako tu mpk sasa.
We una ushahidi wa hizo pesa alizochukua kwa matajiri?
Nyie watu sijui mmejaza nini huko vichwani.
I stand with JPM mpk mwisho
 
Ndugu babukijana hivi kichwa chako kimebeba nywele tu? Sidhani kama una akili hata ya kufuzu Shule ya msingi.

Unaowaita mafisadi wako nje wanatembea huru, kwa taarifa yako watu hao walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5. Pamoja na kuwa na Mahakama specific kwa mafisadi na yeye kuwaweka rumande, lakini hakuna hata mtuhumiwa mmoja aliyekutwa na hatia ya ufisadi. Kama kuna ushahidi wa ufisadi mwaka mmoja tu unatosha kuthibitisha na kum convict mtuhumiwa.

Magufuli àlitawaliwa na HULKA mbaya dhidi ya watu wenye utajiri na hiyo ilimfanya ahisi kila mwenye hela ni FISADI, kumbe FISADI papa ni yeye mwenyewe
Magufuli àlitawaliwa na HULKA mbaya dhidi ya watu wenye utajiri na hiyo ilimfanya ahisi kila mwenye hela ni FISADI, kumbe FISADI papa ni yeye mwenyewe[emoji1752][emoji7]
 
Unaowaita mafisadi walifunguliwa mashtka na Magufuli kati ya mwaka 2016 na 2017. Mpaka Magufuli anakufa 2021 ilikuwa imetimia miaka 4 hadi 5 na hakuna hata mmoja aliyekuwa na HATIA.

Hata ukimchukia Tajiri kwa vile wewe huna fedha haikusaidii kitu. Dawa ni kutafuta fursa za kupata fedha tu
Alikuwa innovative. Alitaka wezi warudishe hela.

Marekani ukiiba kuku utafungwa na kuku utamtapika kupitia restitution and forfeiture. Ukiwa drug dealer Marekani unafungwa halafu wanakuja nyumbani au barabarani wanakomba magari yako ya kifahari. Ukipata mshahara baada ya kutoka jela maisha yako yote cheki wanailamba kama yote mpaka deni liishe. Ukifungua account wanafanya bank seizure! Unaishi masikini mpaka deni liishe.


Tanzania hatuna mifumo ya kufuatilia mali za mtu. Akajaribu kuuza nyumba za Lugumi yakashindikana.

Kada ya sheria alilalamika imeoza. Hana mwanasheria hata mmoja anaeweza kuendesha white color crime akashinda. Wanasheria wetu tumewazoesha eti katikati ya kesi anafuta anakukamata tena, akishindwa kesi anaifungua kivingine. Trial and error, ovyo ovyo.

Marekani state prosecutor anapata only one freaking chance, kwa saab ya "double jeorpady" rights. Kwa hiyo anakuwa makini na mashitaka yake. Kwanza Marekani humshtaki mtu mpaka baraza la wazee liseme tuhuma zina mashiko, grand jury indictment. Mawakili wao wa serikali wanakuwa viwembe! Federal prosecutors wanashinda 99.6% of the times (Pew Research Center). Hapa kwetu wameoza wote.

Afanyeje ????

Na alikuwa yeye mtu mmoja peke yake nchi nzima anaekesha usiku thinking and straining for answers to massive existential crises facing the nation.

Akaona awabane mahabusu warudishe hela. Afanyeje, awaachie ??
 
Alikuwa innovative. Alitaka wezi warudishe hela.

Marekani ukiiba kuku utafungwa na kuku utamtapika kupitia restitution and forfeiture. Ukiwa drug dealer Marekani unafungwa halafu wanakuja nyumbani au barabarani wanakomba magari yako ya kifahari. Ukipata mshahara maisha yako yote cheki wanailamba kama yote mpaka deni liishe. Ukifungua account wanafanya bank seizure!

Tanzania hatuna mifumo ya kufuatilia mali za mtu. Akajaribu kuuza nyumba za Lugumi ikashindikana.

Kada ya sheria alilalamika imeoza. Hana mwanasheria hata mmoja anaeweza kuendesha white color crime akashinda. Wanasheria wetu tumewazoesha eti katikati ya kesi anafuta anakukamata tena, akishindwa kesi anaifungua kivingine. Trial and error. Marekani state prosecutor anapata only one freaking chance. Kwa hiyo anakuwa makini na mashitaka yake. Kwanza humshtaki mtu mpaka baraza la wazee, liseme tuhuma zima mashiko, grand jury indictment. Mawakili wa serikali wanakuwa viwembe! Hapa kwetu wameoza wote.

Afanyeje ????

Na alikuwa yeye mtu mmoja peke yake nchi nzima anaekesha usiku thinking and straining for answers to massive puzzles facing the nation.

Akaona awabane mahabusu warudishe hela.


Kumbe awaachie ?
Nondo zako zimeshiba Asante,lkn yeye aliweka ili kukomoa watu.which is absolutely inhuman.apite uko
 
Nondo zako zimeshiba Asante,lkn yeye aliweka ili kukomoa watu.which is absolutely inhuman.apite uko
Kukomoa watu sawa, wewe unaiweka hivyo.

Mimi nasema ku punish watu!

Watu ambao wanafanya nchi haina hela za kulipa walimu mishahara kama shule za private, ili kusudi kila mtoto apate elimu kama ya shule za "academy."

JPM hakuwa na mifumo ya kisheria ku deal na hawa maharamia

Attorney General Chenge, si mnasema amesoma masters ya sheria Harvard. Muulizeni kama Tanzania tuna prosecutorial capacity ya kuchunguza na kuwafunga wezi wa makaratasi, white color criminals. Kama ipo yeye alipeta petaje na mikataba ya Karl Peters-esque.
 
Nyie ndo walewale mnapinga tu kilakitu na mnarusha lawama kwa mfu mlivyo wanafki kwasababu tu hayuko hai pumbavu zenu angekuwepo mngekua mmebana matako tu mpk sasa.
We una ushahidi wa hizo pesa alizochukua kwa matajiri?
Nyie watu sijui mmejaza nini huko vichwani.
I stand with JPM mpk mwisho
Alikuwa hai na bado tuliandika humu JF kama ni uwoga labda wewe ndiyo ulikuwa mwoga. Na utakuwa mtu wa ajabu ku- stand with mzoga wa Chato
 
.

Afanyeje ????

Na alikuwa yeye mtu mmoja peke yake nchi nzima anaekesha usiku thinking and straining for answers to massive existential crises facing the nation.

Akaona awabane mahabusu warudishe hela. Afanyeje, awaachie ??
Basi ndiyo akeshee kwenye majabali ya mawe namna hii? Ni upumbavu kudhani unaweza kubadilisha system single handedly.
Screenshot_20230201-132543.png
 
Alikuwa hai na bado tuliandika humu JF kama ni uwoga labda wewe ndiyo ulikuwa mwoga. Na utakuwa mtu wa ajabu ku- stand with mzoga wa Chato
Utakufa siku pia mkuu, unaweza ukawa we ndo Mzoga unaotembea,
Kiri na utafute Amani kwa Mungu wako.
Sijawai kuona kosa lolote la JPM zaidi ya ukali wake tu which is right kwa watu kama nyinyi pumbavu akili zimelala tu kila siku kuwaza kuiba tu.
Ndio Nyie mko kila siku kutandaza chuki zenu humu.
Anyway unakuja mpira mwingine muogelee
 
Basi ndiyo akeshee kwenye majabali ya mawe namna hii? Ni upumbavu kudhani unaweza kubadilisha system single handedly. View attachment 2525466
Hata Nyerere aliweza singlehandedly ku instal ujamaa

Alikuja Arusha kwenye mkutano wa TANU na kikaratsi mfuko wa shati. Akasoma manifesto ambayo hakuna aliyewahi kuisikia jana yake. Hayo yameelezwa na Katibu Mwenezi wa TANU Taifa mwaka wa 1967, Mzee Masha. Msemaji wa chama hakujua nini kinaenda kusemwa na Nyerere.

Rais wa Tanzania anaweza chochote. Samia Hassan akisema nimesaini mkataba kuanzia kesho mikoa mitano ya Nyanda za Juu Kusini itapisha Waarabu walete kilimo cha kisasa, itakuwa! Na inakuja!

Pombe Magufuli alifanya alichoweza, hakuwa na mfumo wa kisheria wa ku deal na maharamia wa mali za umma.

Hakuna Rais aliyemtangulia aliyekuwa na balls za kumtia ndani Kamishna General wa TRA na mkwe wa Waziri Mkuu na mtoto wa Balozi na kuwabebesha ndoo mahakamani. Viva Magufuli, Viva Tanganyika.

kitilya-pix.jpg
 
Back
Top Bottom