Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

girls are easy to convince!!!ukiipata weakpoint yake,hata kama apewe vitu vya kila aina!!!!
 
.....huyo mwanamke hakumpenda mumewe, alikuwa zaidi kimaslahi ndio maana alikuwa na wanaume wengine huko nje. Hivi kama umempenda mumeo kikweli kweli kutoka moyoni utamfanyia hivi kweli? Hivi kumbe kuna wanaume wavumilivu kiasi hiki!!
 
.....huyo mwanamke hakumpenda mumewe, alikuwa zaidi kimaslahi ndio maana alikuwa na wanaume wengine huko nje. Hivi kama umempenda mumeo kikweli kweli kutoka moyoni utamfanyia hivi kweli? Hivi kumbe kuna wanaume wavumilivu kiasi hiki!!

Noted with appreciation.

For whatever reasons, how many men can a woman have at a go and why? I wonder.
 
Surely even women themselves dont know what they want, coz the answer varies with time, place and other factors
 
Huyo mwaqnamke ni mkosi omba usikukute,muda huu sjui cha kufanya bt ikifika nitajua
 
Surely even women themselves dont know what they want, coz the answer varies with time, place and other factors
Oooh, Could it mean that they are complex beings or this applies to men as well?
 
1. ...ukapata mume makini anayejiheshimu na mwenye upendo wa kweli akakuoa - Hutaki kutulia macho juu juu, mumeo akagundua nyendo zako na kukukanya, ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaendelea.
3. Mumeo kwa upendo ili usiwe bored akakutafutia kazi nzuri na makini ya kuheshimika, ukaanza kufanya kazi lakini kiwango chako cha utendaji kikawa chini na pia bado unajihusisha na wanaume nje ya ndoa. Mumeo akagundua, kakukanya tena ukaomba msamaha. Mwajiri akaamua kukuondoa kazini kwa kuwa kazi huwezi.

4. Mumeo akaamua kukutafutia mtaji mkubwa ufanye biashara zako, ukatumia bado nafasi hiyo kuendeleza mambo yako na wanaume.

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.

9. Mumeo anakuchukua nje ya nchi mahali kwa likizo muwe wawili tu mpate kudumisha mapenzi na kurelax, lakini muda mwingi wewe unautumia kupiga simu kuongea na wanaaume wako na SMS kibao.


10. Hatimaye mume wako anaamua kukufuatilia ajue ni nini shida yako hasa, anagundua miaka yote mliyopo katika ndoa umekuwa na mahusiano na wanaume wengine na kibaya zaidi ni kuwa si moja tu bali ni zaidi ya watatu. Ili kusikia kauli yako kama ni kweli unafanya hayo mambo safari hii anamuhusisha mama yako mzazi ambaye ndoyo tegemeo la mwisho la kwako, unakubali mbele ya mama na mumeo kuwa ni kweli hayo mambo umekuwa ukiyafanya na kutahayari kuonyesha kuchanganyikiwa na sasa mume umeamua "Kujiweka Pembeni, kuepusha msongamano".

...dah! hii kesi imenichoma kwenye kidonda cha moyo.
Baada ya yote haya, Mwanamke huyu anastahili msamaha kweli?

Hana alitakalo, ila roho yako.
Inauma sana, bora kuachana kwa heri.
 
<p>
</p>
<p><font size="4">Ni nini hasa Mwanamke anahitaji kutoka kwa Mwanamume na katika Maisha yake?</font></p>
<p> </p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">Assume:</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p> </p>
<p><font size="4">1. Ni binti Mrembo wa asili wazazi wako ni watu makini, waelewa, wasomi na wanaoheshimika sana katika jamii na wamekulea vema, ukapata mume makini anayejiheshimu na mwenye upendo wa kweli akakuoa - Hutaki kutulia macho juu juu, memeo akagundua nyendo zako na kukukanya, ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaendelea.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">2. Ulikuwa huna kazi, mumeo akakukabidhi kampuni uiendeshe, ukaifanya kampuni kijiwe cha mashoga zako na mawasiliano na wanaume zako na kisha kutafuna mapato ya kampuni, mumeo akakuondoa kukunusuru wewe na kampuni. Ukakusamehe makosa yako maisha yakaendelea.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">3. Mumeo kwa upendo ili usiwe bored akakutafutia kazi nzuri na makini ya kuheshimika, ukaanza kufanya kazi lakini kiwango chako cha utendaji kikawa chini na pia bado unajihusisha na wanaume nje ya ndoa. Mumeo akagundua, kakukanya tena ukaomba msamaha. Mwajiri akaamua kukuondoa kazini kwa kuwa kazi huwezi.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">4. Mumeo akaamua kukutafutia mtaji mkubwa ufanye biashara zako, ukatumia bado nafasi hiyo kuendeleza mambo yako na wanaume.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">5. Bado mumeo kakununulia gari na unaweza kutumia magari mengine yaliyopo nyumbani, lakini bado huonekani kuridhika.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">7. Elimu yako ilikuwa ya chini akakuendeleza kufikia level ya Chuo Kikuu (Degree), lakini bado wewe na wanaume tu kila kukicha.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">8. Mumeo kwa upendo hakutaka mambo yako yajulikane nje hata hivyo mara kadhaa katumia rafiki yake wa familia wa karibu sana kukuonya ili ujirekebishe, kila wakati unaomba msamaha utaacha na kujirekebisha lakini huachi. Anajitahidi kukuchukua mara kwa mara mkapime HIV ili kujinusuru na kukufanya uwe makini lakini somo halieleweki.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font size="4">9. Mumeo anakuchukua nje ya nchi mahali kwa likizo muwe wawili tu mpate kudumisha mapenzi na kurelax, lakini muda mwingi wewe unautumia kupiga simu kuongea na wanaaume wako na SMS kibao.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p> </p>
<p><font size="4">10. Hatimaye mume wako anaamua kukufuatilia ajue ni nini shida yako hasa, anagundua miaka yote mliyopo katika ndoa umekuwa na mahusiano na wanaume wengine na kibaya zaidi ni kuwa si moja tu bali ni zaidi ya watatu. Ili kusikia kauli yako kama ni kweli unafanya hayo mambo safari hii anamuhusisha mama yako mzazi ambaye ndoyo tegemeo la mwisho la kwako, unakubali mbele ya mama na mumeo kuwa ni kweli hayo mambo umekuwa ukiyafanya na kutahayari kuonyesha kuchanganyikiwa na sasa mume umeamua &quot;Kujiweka Pembeni, kuepusha msongamano&quot;.</font></p>
<p>&nbsp;</p>
<p> </p>
<p><font size="4">Lakini bado hili jambo linaaacha maswali mengi moja wapo ni hili: <b>NI NINI HASA MWANAMKE ANAHITAJI KUTOKA KWA MWANAUME NA KATIKA MAISHA YAKE?</b></font>
</p>
<p>&nbsp;</p>

Labda tumuulize huyo mume nini haswa kimemchanganya kwa huyo mkewe ambacho wanawake wengine hawana? au labda asionekane kaacha mke au asioneka hana ndoa?
 
...dah! hii kesi imenichoma kwenye kidonda cha moyo.
Baada ya yote haya, Mwanamke huyu anastahili msamaha kweli?

Hana alitakalo, ila roho yako.
Inauma sana, bora kuachana kwa heri.

Kwani adam alimwacha eva baada ya yote yale?
 
...dah! hii kesi imenichoma kwenye kidonda cha moyo.
Baada ya yote haya, Mwanamke huyu anastahili msamaha kweli?

Hana alitakalo, ila roho yako.
Inauma sana, bora kuachana kwa heri.

Could this be a case of "Serial Cheater" or "Sex Addict"
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

Labda tumuulize huyo mume nini haswa kimemchanganya kwa huyo mkewe ambacho wanawake wengine hawana? au labda asionekane kaacha mke au asioneka hana ndoa?

Mkuu. kila mtu anayo mahitaji yake katika maisha. Na isitoshe hakuna binadamu aliye mkamilifu. Bila ya shaka alikuwa anatimiza jukumu lake la kutoa msamaha huku akimkanya.
 
Atapewa Mali na kila chenye thamani,
Kama hataridhishwa (hatafikia kilele cha mapenzi),
Mali na vyote alivyopewa si thamani kwake.
Nina ushahidi wa scenarios kama hizo!
 
Back
Top Bottom