Pole sana superman, tatizo liko kwako unatakiwa upate KIKOMBE upate kupona
Kumfukuza mwanamke, si suluhisho, kwani kama hautafanya utafiti na kugundua tatizo yaaani utawafukuza mwisho utajifukuza nawe pia
Mwanamke mpe vyooote, kuanzia gari mpaka utajiri wako wote lakini vyote ni bure, jamaa watakukanyagia mpaka pasi
Hili ni tatizo kwa wanaume wengi, kwani wengi wetu hatuna elimu ya kufanya mapenzi, tulivyokuwa form two tulikuwa tukidanganyana kuwa wanawake wanapenda shaft kubwa, tukaangaika kuchacha madodoki na mihogo ili tuwe na shaft kubwa na kuwatosheleza marafiki zetu wa kike, mara oooohh, mara wengine mawazo yao ni kuwa ukiwa na shaft fupi huwezi kumtosheleza mwanamke unatakiwa uwe na shaft ndefu ukiipenyeza ikaribie nyumba ya uzazi ili apate raha anayohitaji. Tulutoka sekondari tukiwa kila mtu na lake.
Mwanamke anahitaji ufanisi wa tendo la ndoa, si shaft nene, fupi, au ndefu wala vitu vya kifahari.
Mwanamke anahitaji maandalizi, chukua mfano wa daktari anayejiandaa kumfanyia mgonjwa upasuaji, hakurupuki kuchukua mkasi na kuanza kufanya upasuaji, kwanza lazima amkague mgonjwa wake, ahakikishe dawa ya usingizi imekolea sawa sawa kisha ndio upasuaji utaendelea. Vivyo vivyo kwa mwanake.
Mwanamke anahitaji muda wa maandalizi kabla ya tendo, si una mchojoa nguo kisha unapaka mate na kuzama ndani, hapo utamuumiiza na mwisho wa siku lazima usaidiwe na wajuvi wa mambo. kuna sehemu si za kukimbilia kupapasa, mfano ukishamuweka mamaa kitandani unakimbilia kutomasa kinembe, kwa taarifa yako hapa unampa maumivu, na kumfanya asifurahie tendo la ndoa, anza na nyayo, ukifika hapo kati ruka endelea na tumbo mpaka utosi, kisha rudi kati, baada ya hapo unaweza kuanza kuchimba madini.
Superman tuonane kwenye pm kwa ushauri zaidi, huyo mwanamama usimuache, dawa ipo kaka