Ni ngumu kuyapandisha maji mlimani

Ni ngumu kuyapandisha maji mlimani

H mada imenikumbusha

Niliwahi kumpigia simu demu wangu kwa siku mbili mfululizo (kwa siku mara tatu) lakini hakupokea, siku nyingine alipopokea nikamuuliza kwann hakuwa wa kupokea simu yangu Akajibu 'SIJUI' nikaamua kukata simu na kutulia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti sijui
 
Inasikitisha kuona kuna raia bado wanateseka na hili swala la mapenzi bila kujua ni vyema ukapenda pale ambapo unathaminiwa.

Mtu kama hakuoneshi ushirikiano ni aheri umuache tu ila cha ajabu mtu anateseka ila hashauriki sasa sijui ndio uchizi au niiteje. Kuvumilia nyodo za mwanamke sio ushujaa.

View attachment 1724939

Endapo unafikia hatua ya namna hii basi ni vyema kuamua kujikung'uta mikono na kusonga mbele kama injili.
Ukishafika stage hii kupona ni ngumu sana😅😅😅
 
H mada imenikumbusha

Niliwahi kumpigia simu demu wangu kwa siku mbili mfululizo (kwa siku mara tatu) lakini hakupokea, siku nyingine alipopokea nikamuuliza kwann hakuwa wa kupokea simu yangu Akajibu 'SIJUI' nikaamua kukata simu na kutulia.
Ukiona hivyo ujua kuna mahikaji anafumua hatari. Unakuwa unajichosha tu. lakini at the end atakukumbuka tu
 
Unapita mule mule [emoji23][emoji23] kuna kamoja last week kameniomba elfu 2 nikamtumia 10k(ni huruma tu). Amemaliza chuo mwaka jana lakini alivyokuwa chuo nyodo kibao chenga nyingi nikaamua kumpotezea. Sasa hivi mtaa unamlea yupo kwao huko usukumani no boom no fuckn bata na wale waliokuwa wanampa kiburi.
Kitaa panafundisha maisha vizuri sana. Hasa hawa wanawake wa vyuo.
 
Hii stage nimewahi ipitia mara mbili

First time(in my late teens)
Aisee huyu mdada alikuwa family friend, tumekua wote, tumesoma wote. Tulianza ku date kipindi fulani, Aisee huyu mbwa aliniendesha. Nilimpenda kupitiliza, akaamua kuninyoosha. Nimewahi kumlilia usiku kucha, nampigia simu huku nalia😂😂. Aliniambia nisubiri mpaka ndoa na nilikubali kwa roho nyeupe(nikikumbuka huwa najicheka aisee😂😂)

Second time( mid twenties)
Hapa nilipigwa pesa za kutosha, kuna mwanangu alikuwa ananishauri sana kuhusu hiyo manzi lkn ilikuwa kazi bure.
Kuna kipindi nilisafiri zaidi ya km 1000 kwenda kumuona. Nilivofika nikachukua chumba cha 80k, aisee tulilala usiku mzima na sikupewa chochote( ata kiss nilinyimwa😂😂). Niliendelea kumpenda pamoja na kunifanyia vile na pesa akiomba anapata.

Siku hz nipo emotionless. Naamini love is a choice not feelings and emotions
conclusion ya mwisho inapingana na ulichoandika. Pole lakini kwa maswahibu hayo. Hakuwa anakupenda ndio maana.
 
Ni jamaa yangu close na ukweli nimeshamwambiaga long sana kuwa hapo anapotea ila yeye anajifanya Mfilipino.

Yeye anawaza amvizie amjaze mimba ili amkamate ila pia sio suluhisho la kudumu.
Extrovert kumbe una marafiki maboya kiasi hicho. Nakuonaga we ni mtu wa maana sana ujue.

Kwani hakuna wanawake wengine au ndio kalogwa?
 
Extrovert kumbe una marafiki maboya kiasi hicho. Nakuonaga we ni mtu wa maana sana ujue.

Kwani hakuna wanawake wengine au ndio kalogwa?
Hahahahah jamaa unazingua mangi! Huyo mwanangu anaweza kukulia hata manz yako ila tu kakwama! Kanasa penzini
 
wote naodate nao wanajua huwa nikipiga simu au kutuma text sizidish moja Kama hajapokea au kureply
 
Mm nilisha liachuaga chumba ni vitu vya ndani lidemu Fulani nkatembea zangu

Eti kisa linajua kunipa papa vizur ndio lininyanyase kwa mbususu yako hata 3 days linalala nje

Nkalikimbia,last year nkakutana nalo limepauka utazani mchimba chumvi wa uvinza kigoma anae mabaka baka kama chui
 
Mm nilisha liachuaga chumba ni vitu vya ndani lidemu Fulani nkatembea zangu

Eti kisa linajua kunipa papa vizur ndio lininyanyase kwa mbususu yako hata 3 days linalala nje

Nkalikimbia,last year nkakutana nalo limepauka utazani mchimba chumvi wa uvinza kigoma anae mabaka baka kama chui
lilikukosakosa ndugu. Lingekutana na wanaume wanaopenda mbunyenga utadhani walilogwa angekoma. Wanaume hata kama unapenda sana mbunye tujikaze. Kuna wanawake akishakuona hivyo anakupelekesha mbaka unakuwa zezeta
 
Back
Top Bottom