Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
ok hadi sasa naona wote naona mna hekima sana isipokuwa mmoja tu ndio sijamuelewa sijui alikurupuka au vipi..anaitwa kongosho
Ushauri gani kwani wa ndoa. wa kisiasa. wa kiroho. wa kimwili. wa chakula au gani unataka sema maneno yasikike.
Ni watu wengi tu wenye michango mizuri. Sidhani kama kuna mtu mmoja kwani busara na tajiriba za maisha hazina uhodhi.
Tajiriba+ uhodhi= new vocabulary sijawahi kusikia.
Hebu mjomba kwanza tulia maana kila mtu na muonjo wake.Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
ok hadi sasa naona wote naona mna hekima sana isipokuwa mmoja tu ndio sijamuelewa sijui alikurupuka au vipi..anaitwa kongosho
Yani mke wa ujana wangu Kongosho ndo unasema kakurupuka? Mtu mwenye heshima yake mpk vyama vinamgombea awe diwani wa viti maalum?
FYI mtu mwenye sura ya rangi ya khaki ni mimi mod mkuu wa JF. Unabisha nikulambe ban??
Kimvita hicho wewe. Au hukijui Kimvita?
Kimvita hicho wewe. Au hukijui Kimvita?
Hivi unajua kuwa una 'kitu spesho' kwenye lugha?
Nikajua Kisukuma mieee