Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
mwaka huu seiva isipo jaaa!
Inategemea ntu na ntuwe wavyoelewana...bhaaa!!
sawa mkuu maana hapa bwana kuna watu wamepinda sana ndio maana nataka nijue washauri wazuri ni akina nani ili niwamention wakati naweka shida yangu hapa...asante.
Usisahau kabla hujawa mention utoe angalizo kuwa naomba nishauriwe na nitakao wamention hapa tu!!!
Ukiona ngumu hiyo basi wapelekee shida zako pm watakushauri
Umeona eeeeeeee una akili sanaa
Duh!!! kongole ndio kitu gani mkuu?
Pongezi,ni kiswahili hicho
Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
Washauri wazuri inategemea shida yako kwa nionavyo mimi nahisi wengi washauri vizuri uwe na amani tu weka hoja yako ili ujue who is who humu ndani. Ijapokua bado hautaweza kuwatambua wote nataka nikutie moyo tu usiogope weka mada .
Kuna jamaaaa mmoja anaitwa Lyamber...ni shidaaaaa....!! Professional mshauri huyu...over...