Ni nani mshauri mzuri humu jf?

Ni nani mshauri mzuri humu jf?

Majigambo dont be over sensitive or defensive unapotaka ushauri. Uzuri wa usahuri wa hapa ni kuwa unaupata woooote mbaya na nzuri (ambayo ni njia nzuri ya kutambua hata mtaani watu wanafikiriaje hilo unalolitafutia ufumbuzi.

Kazi yako sio kuziba masikio lisiingie usilolipenda - kazi yako ni kukaa chini na kuitafuta busara na hekima (kama unaweza kuitambua ukiiona).

Hivyo nakushauri uwe jasiri, weka mada mezani na utajuwa wanadamu walivyo na ukibahatika - utapata majibu au utaona mwanga mpya. Ila nikuhakikishie lazima utajifunza jambo jipya!
 
Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
unatafuta watu wa kuwaweka kwenye ignore list au...???
 
Mtafute Tangopori mkuu atakusaidia sana ,hasa akikuomba Picha muweke
 
we leta shida yako utapata msaada kwa kadiri ya hiyo shida asante
 
Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...

Kwa ushapona? Umeenda hosptal gani?
 
Umeshapata majina ya washauri wazuri au bado
 
jina langu lisikutishe mkuu...kuna binti mmoja hapa ninapofanya kazi ndio ana majigambo sana japo ni mrembo sana, ndio maana nikaamua kutumia jina hilo...si zaidi ya hapo usiogope.

anakula almasi??
 
Back
Top Bottom