Ni nani mmiliki wa Channel Ten na Magic FM?

Ni nani mmiliki wa Channel Ten na Magic FM?

Sijasema gari huo ni mfano tu kwani wenye vyombo vingine itikadi zao tunazijua? Ukifuatilia sana hilo kila jambo mmiliki nani basi huwezi shirikiana jambo mtu kisa mnatofautiana mitazamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo ccm mkuu, labda hujui roho za viongozi wa chama hiki. Watu waliojaa chuki kwa wenzao ni wa kuwafanya rafiki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa sifahamu mmiliki wa channel 10 nilikuwa nasikiliza tu Magic FM na Channel 10, safi sana buana.

Je, wewe ulikuwa unalifahamu hili? Nilikuwa nadhani ni mali ya Rostam na wengine kumbe looh
kuna kipindi nahc ilikuwa ni mwezi wa 11,nilimuona rostamu akiwa na Magufuli na walikaa kikao cha muda mrefu kumbe ndio walikuwa wanauziana ni mwaka uliopita,nilijiuliza sana nikahic labda jamaa anataka anunue kahawa kule kusini kumbe ndio walikuwa wanasaishana duuuuh ,hele yetu ya kodi sisi tunaendelea kuumia mtaan hlf rais wetu anaongeza idadi ya tv na redio mila namshukuru Mungu vyombo vyote vinavyomilikwa na ccm havipendwi mjini labda vijijini,akitaka anunue ITV na redio zote ila uzuri wa mke ni tabia si sura pia chema siku zote hujiuza ila kibaya hujitembeza
 
Mimi hupenda kusikiliza radio na tv mbalimbali kwani ingawa kila chombo kuna kipindi kinanivutia haijalishi kinamilikiwa na nani,Mimi binafsi sihitaji kujua hilo kwani halinihusu kikubwa taarifa ifuate taaluma tu ukibaki kufahamu miliki ni nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa sifahamu mmiliki wa channel 10 nilikuwa nasikiliza tu Magic FM na Channel 10, safi sana buana.

Je, wewe ulikuwa unalifahamu hili? Nilikuwa nadhani ni mali ya Rostam na wengine kumbe looh
Mid sikujua ila kiukweli nimewaonea huruma sana akina Mary Edward, kwa majigambo yao sasa wajiandae kupotezewa km gazeti la Uhuru na mzalendo.
Mimi naapa sitawaangalia tena hawa mazwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So hivi hawa ccm wamenunua hiyo kampuni kutoka kwa nani , kwa kiasi gani na kuanzia lini?
Mwenye jibu naomba anisaidie.
 
Nilikua nikijiuliza tv station gan hii inamwonekano mbovu kiasi hiki management hawapo serious kiushindani kwa private media kumbe ilikua mali isiyona mwenyewe.Nonsense.
 
Hahaha hivyo zile milioni mia mbili zilitolewa na Rais au Mwenyekiti wa ccm taifa?! Kwanini serikali inafadhili miradi ya chama?! Halafu denu la taifa tinaambiwa ni letu sote?!
 
Hahaha hivyo zile milioni mia mbili zilitolewa na Rais au Mwenyekiti wa ccm taifa?! Kwanini serikali inafadhili miradi ya chama?! Halafu denu la taifa tinaambiwa ni letu sote?!
Unakumbuka siku ile ilikua ni sherehe ya ipi? Ulifuatilia aliekabadhi hundi hiyo fedha alikua nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa sifahamu mmiliki wa channel 10 nilikuwa nasikiliza tu Magic FM na Channel 10, safi sana buana.

Je, wewe ulikuwa unalifahamu hili? Nilikuwa nadhani ni mali ya Rostam na wengine kumbe looh
Kwani hukumuona rostam juzi Kati hapo ikulu???

Mdogo wake si unajua anakabiliwa na kesi gani??

Watch out part 3.....DPP Hana nia ya kuendelea na kesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom