Ni nani mmiliki wa Channel Ten na Magic FM?

Ni nani mmiliki wa Channel Ten na Magic FM?

Ramesh Pattel ndo Mmiliki halali wa Channel10,DTV,Channel 1,Magic Radio
 
Jamani acheni mizaha, mtu kauliza anataka kujua na wengi hatujui. Mbona mnaharibu Heshima ya great thinker??
 
Wadau nina matangazo yangu ya kikampuni changu, na nilikuwa napanga kupeleka pale channel Ten, sasa nikampigia simu rafiki yangu anisindikize ndipo akaniuliza kwani na wewe ni fisadi? nikamwambia sijakuelewa ndipo akaniambia kuna kituo hicho kimenunuliwa na mafisadi yule Mwitaliano hayupo.

Akasema kinamilikiwa na Rostam Aziz pamoja na Edward Lowassa nikabaki mdomo wazi. Ila naye hana uhakika. Mwenye kuujua ukweli huu atujulishe ili tusiendelee kuwaunga mkono mafisadi.



Mkuu nimeona nisipite bure!!ila tread yako kama ima mahungu na kaunafiki kiiidogo!! Yaani wee matangazo yako umeacha kupeleka kisa umeambiwa hiyo station ya mtu fulani!!!huo ni ubaguzi!!kwa hiyo umebadili hayo matangazo unapeleja kwingine!![emoji86] [emoji86] [emoji86] binadamu bhana!!!
 
Wadau nina matangazo yangu ya kikampuni changu, na nilikuwa napanga kupeleka pale channel Ten, sasa nikampigia simu rafiki yangu anisindikize ndipo akaniuliza kwani na wewe ni fisadi? nikamwambia sijakuelewa ndipo akaniambia kuna kituo hicho kimenunuliwa na mafisadi yule Mwitaliano hayupo.

Akasema kinamilikiwa na Rostam Aziz pamoja na Edward Lowassa nikabaki mdomo wazi. Ila naye hana uhakika. Mwenye kuujua ukweli huu atujulishe ili tusiendelee kuwaunga mkono mafisadi.



acha proganda chafu ili kila kinachoonekana kipo tufauti na mlengwa wa kushoto kionekane kibaya na kinatumika ivii startv niyanani mbona ilo swali hujawai kuuliza hao ulio wataja ndio wamiliki hawahusiki na chochote hapo achakudanganya watu kwa story za kutunga
 
Duh yaan huyo Lowassa anawapa watu shida sana maana Kila kitu Lowassa hebu muacheni bhana na alishasema mpelekeni mahakama.
 
Mm wananikera sana na vipindi vya makanisa ya kupumbaza watu...yaani naangalia the way watanzania tulivyo kichwani..........
 
Back
Top Bottom