Ina leseni ya FTA km ITV,startv eatv, kikubwa uwe na kisimbuzi chenye Chanel za bure bure
Kwani wanunua African Media au channel 10 tu?Maghufuli hajui biashara...hata kama ni ya ccm ckuona haja ya kutangaza.
Nilikuwa napenda sana kipindi cha morning magic.. Sasa wakianza kuwapamba kijani sisikilizi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilivyosikia nikua African Media sijajua ni vyombo vipi? Ila kampuni hauzwi nusu nadhani itakua yote.
Maghufuli hajui biashara...hata kama ni ya ccm ckuona haja ya kutangaza.
Nilikuwa napenda sana kipindi cha morning magic.. Sasa wakianza kuwapamba kijani sisikilizi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itakuwa African Media group kwaiyo kampuni mtoto au mama wanaweza kuuza tuNilivyosikia nikua African Media sijajua ni vyombo vipi? Ila kampuni hauzwi nusu nadhani itakua yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja wadau waje watupe elimu itapendeza sana.Hii itakuwa African Media group kwaiyo kampuni mtoto au mama wanaweza kuuza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyoote, hata C2C, DTV, CTN, Magic
Mlioko dar hivi dtv mnaipataje na hizo nyingine kwa visimbuzi gani?Vyoote, hata C2C, DTV, CCT, Magic
Yaani nipande Gari la CCM? Usitake niseme vibaya hapa!Nilikua sifahamu,kikubwa wazingatie taaluma na sheria hoja ni ya nani sioni umuhimu sana tusipokua makini hata vyombo vya usafiri hatuwezi panda kikubwa waboreshe mitambo ionekane vizuri tuburudike na kuelimika.
Sent using Jamii Forums mobile app