monomotapa
JF-Expert Member
- Oct 30, 2012
- 437
- 325
Ha ha ha ha ha ha haaaaa......Ukatoka Mbio Kujiokoa ha ha ha ha ha...Ni kweli Huyu Bingwa nilishamuona (RIP) alikuwa Mwamba..... Mtu mwingine akisikia anaona utani Ila sisi vijana wa enzi hizo tunajua nini tunaongea.
Kuna siku pale Iringa Ruaha international alitokea na baiskeli yake sport... Kulikuwa kuna kundi la vijana magangwe walipomuona walitahayari na kutawanyika mbio za kujiokoa! Alisimamisha baiskeli yake akatisika kichwa... Akawaita na kuwaambia hana soo na yeyote kati yao.... Ila kuna mbaya wake anamsaka....
Kuna siku pale Iringa Ruaha international alitokea na baiskeli yake sport... Kulikuwa kuna kundi la vijana magangwe walipomuona walitahayari na kutawanyika mbio za kujiokoa! Alisimamisha baiskeli yake akatisika kichwa... Akawaita na kuwaambia hana soo na yeyote kati yao.... Ila kuna mbaya wake anamsaka....