LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,312
- 6,638
ha haha haaa mzee wake mariam badelaUnaikumbuka Taxi no.14 ya Mzee Roka?
Peugeot 404
ha haha haaa mzee wake mariam badelaUnaikumbuka Taxi no.14 ya Mzee Roka?
Peugeot 404
NAsIkiA Cool 9 AlishaWahi Kupokea Kichapo Toka Kwa Jamaa Mmoja Wa IrInga AnaItwa ChanCellor Mwenye KujuA AtujuZe JaMani​ah haha haaa haaaa, nitalifuatilia hili
Miaka ya 80-90 kulikuwa na jamaa mmoja mitaa ya Manzese na Magomeni alikuwa anaitwa Cool 9. Huyu bwana alikuwa ni maarufu sana Dar es salaam na chanzo cha umaarufu wake ni kwamba huyu jamaa alikuwa ni fundi sana wa kupigana.
Alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.Kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani, ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyoyajua.
Tumjadili jamani
bestito lara 1 umebadilisha avatar yako au vipi siielewi kabisa best nin kimetokea tenaHahahaaaaa! Mpaka niwe na Mamushka Lara 1 mutoto ya migo migo ndo anaemjua uzuri, mie ananihadithiaga kidogo kidogo katika shindano letu lisilo rasmi la MAMA VS MWANA NANI ANATEKETEZA BATA ZAIDI KATIKA UJANA!!!! Hahahaaaaa! Nampaga ushindi wa mezani tu, manake KULA BATA ENZI HIZO WAKATI WENZIE BUSY WAKIJENGA NCHI SI MCHEZOOO!!!! Sasa kuonesha yeye zaidi ndo ananipaga stori za wakali wa enzi hizooooooo!
Nyingine nilisikiaga kuwa akienda kwenye vilabu au sehemu ya pombe anaanzisha vagi lolote afu anamwga ile mitingasi na kukomaa wamdai yeye ili aonekane anazooooo.
Na Huu Umri Wangu Wa Kuzaliwa Mkapa Raisi Hapa Hapanihusu[Hivi Ni Nani Anamkumbuka Ngwena Mbabe Wa Hapa Kwetu Mburahati?]
Poa basi Doyi utakuwa umefanya jambo la maana sana hembu mwonyeshe huu uzi halafu mwambie tunataka na yeye achangie zaidiKuna mdogo wake cool 9 ana ukaribu sana na jamaa yangu flani huko mkoani.ntajitahid kumshawish aje hapa jf atupe mastori ya ubabe wa kakayake
duh kumbe kitanzin ina wababe tangu siku nyingi? Hadi sasa bado kuna magrupu ya wakorofi wamajiita kitakita. Ni wakorofi balaanilikutana nae mara ya mwisho mwaka 2002 ila aliniambia kuwa alifariki sikumbuki aliniambia ni mwaka gani,jamaa walikuwa wanaishi maeneo ya kitanzini mkoani Iringa akiwa yeye kaka yake shedadi wadogo zake hayati,ambae aliuwawa kwenye tukio la ujambazi kwenye magodown ya RTC mlandege,jamaa mkono mmoja ulikuwa na jeraha la risasi baada ya kutwangwa na dereva wa malori,aliwasumbua sana polisi pale Iringa
kulikuwa na ka mtindo flani songea miaka ya themanini. Nilikuwa std three tulipohamia songea nikakuta watoto wagomvi shuleni vibaya mno, ugomvi nje nje mkizipiga ukimdunda utasikia naenda kuagizia, hapo anamaanisha anakwenda kumtafuta mtu au kikundi waje wakudunde. Utashangaa mmetoka maeneo ya shule unakutana na wababe wanakusubiri kitakacho endelea hapo ni kichapo hahaaa
Kule kwetu kulikuwa na Pawa Mwanza, pawa Mabula, Pawa Sozia na Pawa Malimao
Walikuwa wanapiga hadi chai maharage zinaanguka