Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 146
Miaka ya 80-90 kulikuwa na jamaa mmoja mitaa ya Manzese na Magomeni alikuwa anaitwa Cool 9. Huyu bwana alikuwa ni maarufu sana Dar es salaam na chanzo cha umaarufu wake ni kwamba huyu jamaa alikuwa ni fundi sana wa kupigana.
Alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.Kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani, ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyoyajua.
Tumjadili jamani
Alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.Kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani, ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyoyajua.
Tumjadili jamani