Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mfinanga ndo ana roho mbaya sana uliza chuo kizima hawampendi hasa staffMfinanga lazima achukue kiti hicho
Huyo Prof Yunus Mgaya pamoja na yule mwenzie Prof Makenya Maboko wametufanyia mambo ya ajabu sana kipind hicho udsm
hahah...udsm student,duh mkuu hii id ako umetish ase,,.....sema nin,MT111 y prof inapandaa kwel??Prof Masenge
Mkaliandala kasoma Berkeley na kawa vice chancellor tangu niko second year so umeproove failure tafuta sababu nyingineKwa Vyuo Vikuu inahitaji kupata Prof. yeyote MUHAYA (from Bukoba aliyesomea PhD yake CAMBRIDGE, UK ama HARVARD, USA), maana ndio wenye uzoefu na mambo ya vyuo vikuu duniani. Mifano hai ipo hakuna haja ya kuchoshana.
Profesa Luoga kauzu sana ase, Mfinanga atafaa sanaProfessor Florens Luoga apewe Taasisi hiyo
Mfinanga sidhan kama jukumu hili ataliweza. Wacha apambane na familia kwanzaProfesa Luoga kauzu sana ase, Mfinanga atafaa sana