Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,637
- 4,013
Zombi Lolote lenye kadi ya lumumba litakuwa VC
Kwani fammilia yake ipoje mpaka utake aimarishe familia kwanza?Mfinanga sidhan kama jukumu hili ataliweza. Wacha apambane na familia kwanza
Udom haiwezi kutoa prof kuja kuongoza udsmProf. Ame toka UDOM
Ucha Uboya, kigezo ni kudhibiti migomo ya wanafunzi?Namba tisa alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhiti migomo ya wanafunzi..
Anafaaaaa
Ilikuwa zamani, kwa sasa wasomi wapo nchi nzimaBukoba ni kisima cha Wasomi nchini, bila shaka UDSM watatumia nafasi hiyo kumpata kingozi wao
Tena huyo Profesa toka UDOM Mzenji ha ha ha atatolewa mkuku na Daruso siku ya kuripoti tuUdom haiwezi kutoa prof kuja kuongoza udsm
Tena huyo Profesa toka UDOM Mzenji ha ha ha atatolewa mkuku na Daruso siku ya kuripoti tuUdom haiwezi kutoa prof kuja kuongoza udsm
yea kuna siku mzungu Bruce alikuwa anatufundisha HR/human rights ndo akaw anadokeza jins gn BK anavyopigiwa chapuo awe VC.Kama ni hivyo Mukandala atauteua mchepuko wake wa miaka na miaka BK. Hilo halina mjadala !!!
Mkuu sio unamsingizia Mzungu wa watu? Anawezaje kuongea wazi wazi hivyo?yea kuna siku mzungu Bruce alikuwa anatufundisha HR/human rights ndo akaw anadokeza jins gn BK anavyopigiwa chapuo awe VC.
Mungu anawaona lkn,BOT moja hio.Professor Florens Luoga apewe Taasisi hiyo
Mungu anawaona lkn,BOT moja hio.Profesa Luoga kauzu sana ase, Mfinanga atafaa sana
Mungu anawaona lkn,BOT moja hio.Luoga anafaaaaa