Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Huyu walisema anatembea na mkaliandala ila sina uhakika.Prof Bernadetha killian
Huyu walisema anatembea na mkaliandala ila sina uhakika.Prof Bernadetha killian
Mbona mkaliandala hakusoma hivyo vyuo na ni nshomile.?Kwa Vyuo Vikuu inahitaji kupata Prof. yeyote MUHAYA (from Bukoba aliyesomea PhD yake CAMBRIDGE, UK ama HARVARD, USA), maana ndio wenye uzoefu na mambo ya vyuo vikuu duniani. Mifano hai ipo hakuna haja ya kuchoshana.
Kazi ipo kwa kweli yani wewe badala ya kupigana uzijue CV zao hao maprofessor, unakomaa na dini za watu.UDSM hakuna maproff waisilamu?
Prof Olele Sendekia wa University of KijaniAkiwahutubia wanafunzi wa mwaka wa kwanza (mwaka wa masomo 2016/17), kwenye mahafali ya Main Campus na kule MUCE. Prof. Mukandala ametumia nafasi hiyo kuwaaga wanafunzi maana hayo ndo mahafali ya mwisho akiwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu. Je ni nani kuchukua mikoba yake? Any intelligent Guess?
1. Prof. Kitila Mkumbo,
2. Prof. Wineaster Anderson,
3. Prof. Benson Bana,
4. Prof. Bernadetha Kilian,
5. Prof. William Anangisye,
6. Prof. Cuthbert Kimambo,
7. Prof. David Mfinanga,
8. Prof. Sifuni Mchome?
9. Prof. Yunus Mgaya
10.......................................ama nani?
NB: Search Committee ilishafanya mchakato wa awali na majina kadhaa yamepatikana, la muhimu wanafunzi kupitia DARUSO watoe ushirikiano.
Kwa mujibu wa University Charter, Chancellor ndio anateua jina moja katika hayo yaliyoletwa kwake ili kuwa Makamu Mkuu wa Chuo.
UchocheziLazima atoke Lake Zone..
Zaidi Msukuma.
Kipimo ni hiki! NANI ANAJIKOMBA SANA--------Akiwahutubia wanafunzi wa mwaka wa kwanza (mwaka wa masomo 2016/17), kwenye mahafali ya Main Campus na kule MUCE. Prof. Mukandala ametumia nafasi hiyo kuwaaga wanafunzi maana hayo ndo mahafali ya mwisho akiwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu. Je ni nani kuchukua mikoba yake? Any intelligent Guess?
1. Prof. Kitila Mkumbo,
2. Prof. Wineaster Anderson,
3. Prof. Benson Bana,
4. Prof. Bernadetha Kilian,
5. Prof. William Anangisye,
6. Prof. Cuthbert Kimambo,
7. Prof. David Mfinanga,
8. Prof. Sifuni Mchome?
9. Prof. Yunus Mgaya
10.......................................ama nani?
NB: Search Committee ilishafanya mchakato wa awali na majina kadhaa yamepatikana, la muhimu wanafunzi kupitia DARUSO watoe ushirikiano.
Kwa mujibu wa University Charter, Chancellor ndio anateua jina moja katika hayo yaliyoletwa kwake ili kuwa Makamu Mkuu wa Chuo.
UDSM hakuna maproff waisilamu?
Kuna Prof. MSUKUMA hapo?
Uchochezi mkuuProf naniiii Kanda maarumu hapo hayupo
Kwa kuwa alimpa PhD ya miaka 3 baada ya 5 mkulu au, aibu kubwa kilaza huyoprof. Buch....
Acha UkabilaKama kuna prof. wa kutoka kanda ya ziwa atakuwa na uhakika.
1.Professa Paramaganda Kabudi.Akiwahutubia wanafunzi wa mwaka wa kwanza (mwaka wa masomo 2016/17), kwenye mahafali ya Main Campus na kule MUCE. Prof. Mukandala ametumia nafasi hiyo kuwaaga wanafunzi maana hayo ndo mahafali ya mwisho akiwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu. Je ni nani kuchukua mikoba yake? Any intelligent Guess?
1. Prof. Kitila Mkumbo,
2. Prof. Wineaster Anderson,
3. Prof. Benson Bana,
4. Prof. Bernadetha Kilian,
5. Prof. William Anangisye,
6. Prof. Cuthbert Kimambo,
7. Prof. David Mfinanga,
8. Prof. Sifuni Mchome?
9. Prof. Yunus Mgaya
10.......................................ama nani?
NB: Search Committee ilishafanya mchakato wa awali na majina kadhaa yamepatikana, la muhimu wanafunzi kupitia DARUSO watoe ushirikiano.
Kwa mujibu wa University Charter, Chancellor ndio anateua jina moja katika hayo yaliyoletwa kwake ili kuwa Makamu Mkuu wa Chuo.
Haswa haswa mkatolikiLazima atoke Lake Zone..
Zaidi Msukuma.