Mkambarani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 287
- 252
Unamkumbuka nani kwenye Series ya 24 aliye kuwa kama Pro. Mruma?Baada ya kumsikiliza Mh. Rais alivosema kuhusu special operation aliyofanya Prof. Mruma kuhusu wizi wa madini nikaanza kukumbuka series ya 24.
Kumbe TZ tunao maspy Wa kiwango kikubwa sana kama huyu prof. Namuomba mh. Rais amuongezee ulinzi huyu prof.
Sent using Jamii Forums mobile app