Bongo movies bongo lala. Alisema mhenga Joh MakiniWenye 'akili', umewapa wazo! Kazi kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo movies bongo lala. Alisema mhenga Joh MakiniWenye 'akili', umewapa wazo! Kazi kwao.
Informer ndye anasign mikataba ya kutuminyaLazima mkubari kuitwa WAJINGA wote mnaohoji mruma alitumwa Na Nani lini ili UJINGA uondoke mkubari kuwa nchii hii INA imformas wengi kila sehem nahuleta taarifa sahihi tatizo huwa HAZIFANYIWI KAZI Sasa magufuri Anazifanyia Kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijua maana ya sirikali
Bimaana serekali usingehangaika kuulizwa alitumwa lini na nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi zake kikamilifu, tiss wanafanya kazi kwa mujibu wa viapo pia na ni wajibu na utashi wa mwenye mamlaka kufanyia kazi, kama walokuepo hawakutaka kufanyia kazi basi aliyepo kaamua kuyafanyia kazi.Hahaha kweli wadanganyika yaani nilizima TV baada ya kusikia ule utetezi, hata mwanangu kaniuliza huyo mruma alitumwa lini? Na ripoti inasemaje ni lini alikuwa mtumishi wizarani? Nimemwambia mwanangu pambana na hali yako,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona nakuonaMbona wapo wengi sana tokea enzi za Nyerere ila hapo kati walikua hawapewi kipaumbele, refer kauli ya kikwete "ninayo majina yote ya wauza unga"
Kwenye vyama vya upinzani ndio wamejaa kama utitiri na kuna kiongozi mkubwa upinzani ni undercover agent.