Je, Waafrika ni watu weusi watupu? Au tunapotoshwa na wazungu?

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,946
3,820
Tuseme Wasomali wanajitambua ,maana hawakubali kuitwa Waafrika ,na hujitambulisha kama ni msomali na anatoka Somalia.

Hata waZanzibari wanakwambia ni wa Zanzibari na wanatokea Zanzibar hawajitambulishi wala baadhi ya wakati hawakubali kuitwa waafrika.

Na kuna nchi viongozi wake huwasikii kusema ...sisi waafrika...hivi na vile.. Ila Hapa Tz tumejaa ujahili wa kujifaharisha kuwa ni waafrika, utawasikia vitimba kwiri ya CCM ....sisi waafrika.... ,hapo anawahutubia wananchi wa kijiji ,wilaya,mkoa au Nchi ,sasa ni aibu kusema sisi waTanzania ? au mtu kujijulisha kuwa ni Mtanzania na kuweka mbali kabisa neno Afrika!

Dharau kubwa huko ulimwenguni,tunadharaulika na wakitilia mkazo kidharau utawasikia ...Africans ,..We know you people from Afrika, yaani tunajumuishwa aliekuwemo na asiekuwemo.

Viongozi wetu acheni kulitumia hili jina Afrika mnapotuwakilisha au huko mnakotembea muonekane mnatoka Tanzania na ni waTanzania.

Je Waafrika ni watu weusi watupu ? Au tunapotoshwa na wazungu ? Hili jina linatumika kutudharau na kuonekana watu weusi si binadamu wazuri.
 
Kuna mtu aliandika with reference to the clean books kwamba watu weusi walikuwepo mpaka Israel katika miaka ya zamani, ila wanazidi kupungua nadhani ni dominancy ya waarabu
 
Kuna Wahindi Weusi ti
Waarabu Weusi ti
Wa Mashariki ya mbali yaani Wafilipino, Waindonesia weusi ti

Je hao ni Waafrika ?

Mwafrika ni yule mwenye asili ya Bara la Afrika.

Alama moja kubwa ya mwafrika ni NYWELE zake.
Nywele za kipilipili fupi, na sio ndefu kiasili, nyingi na nyembamba nyeusi.

Kuhusu rangi, mwafrika amebarikiwa kuwa binadamu mwenye rangi nyingi zaidi.

Kuna mwafrika mweusi ti Kama wale wa Sudani kusini.
Kuna mwafrika mweupe pe, kuna mwafrika maji ya kunde, rangi ya udongo nk.
 
Kuna Wahindi Weusi ti
Waarabu Weusi ti
Wa Mashariki ya mbali yaani Wafilipino, Waindonesia weusi ti

Je hao ni Waafrika ?

Mwafrika ni yule mwenye asili ya Bara la Afrika.

Alama moja kubwa ya mwafrika ni NYWELE zake.
Nywele za kipilipili fupi, na sio ndefu kiasili, nyingi na nyembamba nyeusi.

Kuhusu rangi, mwafrika amebarikiwa kuwa binadamu mwenye rangi nyingi zaidi.

Kuna mwafrika mweusi ti Kama wale wa Sudani kusini.
Kuna mwafrika mweupe pe, kuna mwafrika maji ya kunde, rangi ya udongo nk.
Unajifariji tiii...!
 
Tuseme Wasomali wanajitambua ,maana hawakubali kuitwa Waafrika ,na hujitambulisha kama ni msomali na anatoka Somalia.
Hata waZanzibari wanakwambia ni wa Zanzibari na wanatokea Zanzibar hawajitambulishi wala baadhi ya wakati hawakubali kuitwa waafrika.

Na kuna nchi viongozi wake huwasikii kusema ...sisi waafrika...hivi na vile.. Ila Hapa Tz tumejaa ujahili wa kujifaharisha kuwa ni waafrika ,utawasikia vitimba kwiri ya CCM ....sisi waafrika.... ,hapo anawahutubia wananchi wa kijiji ,wilaya,mkoa au Nchi ,sasa ni aibu kusema sisi waTanzania ? au mtu kujijulisha kuwa ni Mtanzania na kuweka mbali kabisa neno Afrika !!!

Dharau kubwa huko ulimwenguni,tunadharaulika na wakitilia mkazo kidharau utawasikia ...Africans ,..We know you people from Africa.... yaani tunajumuishwa aliekuwemo na asiekuwemo.

Viongozi wetu acheni kulitumia hili jina Afrika mnapotuwakilisha au huko mnakotembea muonekane mnatoka Tanzania na ni waTanzania.

Je Waafrika ni watu weusi watupu ? Au tunapotoshwa na wazungu ? Hili jina linatumika kutudharau na kuonekana watu weusi si binadamu wazuri.
"
Ubaguzi ni sawa nakula nyama ya mtu ukianza huwezi acha Leo utasikia sisi wa Africa, au sisi wazungu, kesho utasikia sisi wa Tanzania au sisi wa kenya na kesho kutwa utasikia sisi wa Matengo au wamatumbi na kesho kutwa yake utasikia Mimi mkristu au Mimi muislam ubaguzi ni wakukemewa haukubaliki hata kidogo ni sawa nakula nyama ya mtu utaendelea na kuendelea"

Busara za mwalimu zidumu milele

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Ukisoma paragraph ya mwisho kwa umakini zaidi inaonyesha wazi kabisa mleta mada nae pia anajibagua kwa rangi yake,

Post #5 imemaliza kila kitu kwa mwenye uelewa.
 
Mnepotea njia kabsaa.
Mimi nipo na viongozi wetu wanapotuhubia kama WaTanzania waache kusema au kutumia msemo wa ...sisi waafrika... atumie ........sisi waTanzania... hata kule kwa wapiga hela za bure aka wabunge ,nao utawasikia huku mishipa imewasimama (Mishipa ya damu ) , hutumia ...sisi waafrika....

Nimegusia Msomali kwa sababu ilitokea USA ,msomali aiitwa wewe ,hey ya african ..msomali alikiwasha na kulikataa jina hilo.

Viongozi msijizibe kwenye kivuli cha sisi waafrika .....tumieni sisi waTanzania..
 
Tuseme Wasomali wanajitambua ,maana hawakubali kuitwa Waafrika ,na hujitambulisha kama ni msomali na anatoka Somalia.

Hata waZanzibari wanakwambia ni wa Zanzibari na wanatokea Zanzibar hawajitambulishi wala baadhi ya wakati hawakubali kuitwa waafrika.

Na kuna nchi viongozi wake huwasikii kusema ...sisi waafrika...hivi na vile.. Ila Hapa Tz tumejaa ujahili wa kujifaharisha kuwa ni waafrika, utawasikia vitimba kwiri ya CCM ....sisi waafrika.... ,hapo anawahutubia wananchi wa kijiji ,wilaya,mkoa au Nchi ,sasa ni aibu kusema sisi waTanzania ? au mtu kujijulisha kuwa ni Mtanzania na kuweka mbali kabisa neno Afrika!

Dharau kubwa huko ulimwenguni,tunadharaulika na wakitilia mkazo kidharau utawasikia ...Africans ,..We know you people from Afrika, yaani tunajumuishwa aliekuwemo na asiekuwemo.

Viongozi wetu acheni kulitumia hili jina Afrika mnapotuwakilisha au huko mnakotembea muonekane mnatoka Tanzania na ni waTanzania.

Je Waafrika ni watu weusi watupu ? Au tunapotoshwa na wazungu ? Hili jina linatumika kutudharau na kuonekana watu weusi si binadamu wazuri.

Somalia hawakatai kuitwa waafrica wanakataa kuitwa blacka?? upo sio unakuja na upumbavu hapa

Mwafrica ni mtu anaetokea Africa
Lakini kiasili mwafrica ni mtu mweusi

Wazanzibar wengi ni mamluki wa waarabu na ndio maana tanzania hatutaachia maana tukiacha wajitenge vile viafrica vyeusi vitakua vitumwa tena maana muarabu kashika serikali na uchumi na taswira ya zanzibar
 
Mwafrika ni Mzaliwa na Mkazi wa barani Afrika

Katika Bara la Afrika kuna watu wa asili ya Asia, Ulaya, Amerika n.k waliohamia aidha wao au kizazi chao kwa karne kadhaa zilizopita

Kwa Mfano wapersishi / Persian ndio watu wa kwanza kutoka Uajemi kuja Afrika hata kabla haijaitwa Afrika, wengine ni Waarabu waliokuja zamani, Wazungu waliokuja wakati wa ukoloni na Wahindi waliokuja kwaajili ya kufanya Biashara na kuishi

Katika asili hizo zote walio DUNI, MASIKINI NA WAJINGA ZAIDI ni Waafrika weusi

Kimuonekano ni watu wenye pua pana, lips pana, Ngozi nyeusi na nywele fupi, nyeusi na ngumu

Pia watu weusi popote walipo duniani Hawapendani, Hawatakiani, Hawana Umoja, Hawana Ubunifu na Hawana Ugunduzi, Mathalani huko USA, Caribean, Australia, Canada n.k
 
Back
Top Bottom