Tatizo la chaguzi za Afrika ni nini hasa? Kwa nini wazungu wanaheshimiana sana kwenye chaguzi zao?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,620
46,260
Marekani hata hakuna tume ya uchaguzi, Serikali za majimbo ndizo zinasimamia mchakato mzima wa kupiga na kuhesabu kura laki hakuna Katibu wa jimbo awe Republican au Democrat anayeiba kura za wapinzani wake. Ila voter suppression kwa sehemu inawalenga watu weusi!

Uingereza hakuna tume ya uchaguzi ya kusimamia upigaji na kuhesabu kura, hii kazi yote inafanywa na serikali za mitaa. Tume yao ya uchaguzi ni kwa ajili ya kuhakikisha mchakato na sheria za uchaguzi tu zimezingatiwa. Uchaguzi wao pia haujawahi kuwa na shida, hakuna wizi wa kura.

Ufaransa kura zinahesabiwa na watu wa kujitolea kisha serikali za mtaa zinathibitisha na kutangaza matokeo, kama huwezi kwenda kituoni kupiga kura unaweza kumtuma mtu akupelekee kura yako polisi. Uchaguzi wao hauna shida pia.

Makaburu wa Africa Kusini wakati wanawazuia watu weusi kupiga kura wao wenyewe walikuwa wanaheshimu uchaguzi wao na hawabiani kura!

Sisi Waafrika lazima tuna shida mahali, tuna sheria na miongozo chungu nzima ya uchaguzi ila chaguzi zetu zina matatizo makubwa na mara zote hakuna anayekubali kushindwa na wengine wanaishia katika kukataa uchaguzi, kufungua kesi, maandamano au kupigana vita za kuuana kabisa!
 
Fikra hasi kama hizi kwa Mwaafrika ndizo zinazozo wachanganya watu kufikiria hatushehimiani...

Afrika hakuna shida za kuheshimiana, shida ipo kwa wazungu kutokuheshimu mifumo na michakato ya Uchaguzi za Waafrika.

Waafrika kwa sasa hawadanganyiki sana kivile.

Waambie waache kutuingilia katika chaguzi zetu.
 
Marekani hata hakuna tume ya uchaguzi, serikali za majimbo ndizo zinasimamia mchakato mzima wa kupiga na kuhesabu kura laki hakuna Katibu wa jimbo awe Republican au Democrat anayeiba kura za wapinzani wake. Ila voter suppression kwa sehemu inawalenga watu weusi!

Uingereza hakuna tume ya uchaguzi ya kusimamia upigaji na kuhesabu kura, hii kazi yote inafanywa na serikali za mitaa. Tume yao ya uchaguzi ni kwa ajili ya kuhakikisha mchakato na sheria za uchaguzi tu zimezingatiwa. Uchaguzi wao pia haujawahi kuwa na shida, hakuna wizi wa kura.

Ufaransa kura zinahesabiwa na watu wa kujitolea kisha serikali za mtaa zinathibitisha na kutangaza matokeo, kama huwezi kwenda kituoni kupiga kura unaweza kumtuma mtu akupelekee kura yako polisi. Uchaguzi wao hauna shida pia.

Makaburu wa Africa Kusini wakati wanawazuia watu weusi kupiga kura wao wenyewe walikuwa wanaheshimu uchaguzi wao na hawabiani kura!

Sisi Waafrika lazima tuna shida mahali, tuna sheria na miongozo chungu nzima ya uchaguzi ila chaguzi zetu zina matatizo makubwa na mara zote hakuna anayekubali kushindwa na wengine wanaishia katika kukataa uchaguzi, kufungua kesi, maandamano au kupigana vita za kuuana kabisa!
Mambo ya Trump aliyosema
 
Fikra hasi kama hizi kwa Mwaafrika ndizo zinazozo wachanganya watu kufikiria hatushehimiani...

Afrika hakuna shida za kuheshimiana, shida ipo kwa wazungu kutokuheshimu mifumo na michakato ya Uchaguzi za Waafrika.

Waafrika kwa sasa hawadanganyiki sana kivile.

Waambie waache kutuingilia katika chaguzi zetu.
Mzungu yupi anaingilia chaguzi
 
Marekani hata hakuna tume ya uchaguzi, serikali za majimbo ndizo zinasimamia mchakato mzima wa kupiga na kuhesabu kura laki hakuna Katibu wa jimbo awe Republican au Democrat anayeiba kura za wapinzani wake. Ila voter suppression kwa sehemu inawalenga watu weusi!

Uingereza hakuna tume ya uchaguzi ya kusimamia upigaji na kuhesabu kura, hii kazi yote inafanywa na serikali za mitaa. Tume yao ya uchaguzi ni kwa ajili ya kuhakikisha mchakato na sheria za uchaguzi tu zimezingatiwa. Uchaguzi wao pia haujawahi kuwa na shida, hakuna wizi wa kura.

Ufaransa kura zinahesabiwa na watu wa kujitolea kisha serikali za mtaa zinathibitisha na kutangaza matokeo, kama huwezi kwenda kituoni kupiga kura unaweza kumtuma mtu akupelekee kura yako polisi. Uchaguzi wao hauna shida pia.

Makaburu wa Africa Kusini wakati wanawazuia watu weusi kupiga kura wao wenyewe walikuwa wanaheshimu uchaguzi wao na hawabiani kura!

Sisi Waafrika lazima tuna shida mahali, tuna sheria na miongozo chungu nzima ya uchaguzi ila chaguzi zetu zina matatizo makubwa na mara zote hakuna anayekubali kushindwa na wengine wanaishia katika kukataa uchaguzi, kufungua kesi, maandamano au kupigana vita za kuuana kabisa!
Heading ya bandiko lako ndio inayotoa jibu la swali uliloliuliza !
Ni kwamba wazungu wanaheshimiana ndio maana unawaona na kuwasikia jinsi wanavyofanya chaguzi zao na wanavyoendesha siasa zao za kistaarabu !
 
Marekani hata hakuna tume ya uchaguzi, serikali za majimbo ndizo zinasimamia mchakato mzima wa kupiga na kuhesabu kura laki hakuna Katibu wa jimbo awe Republican au Democrat anayeiba kura za wapinzani wake. Ila voter suppression kwa sehemu inawalenga watu weusi!

Uingereza hakuna tume ya uchaguzi ya kusimamia upigaji na kuhesabu kura, hii kazi yote inafanywa na serikali za mitaa. Tume yao ya uchaguzi ni kwa ajili ya kuhakikisha mchakato na sheria za uchaguzi tu zimezingatiwa. Uchaguzi wao pia haujawahi kuwa na shida, hakuna wizi wa kura.

Ufaransa kura zinahesabiwa na watu wa kujitolea kisha serikali za mtaa zinathibitisha na kutangaza matokeo, kama huwezi kwenda kituoni kupiga kura unaweza kumtuma mtu akupelekee kura yako polisi. Uchaguzi wao hauna shida pia.

Makaburu wa Africa Kusini wakati wanawazuia watu weusi kupiga kura wao wenyewe walikuwa wanaheshimu uchaguzi wao na hawabiani kura!

Sisi Waafrika lazima tuna shida mahali, tuna sheria na miongozo chungu nzima ya uchaguzi ila chaguzi zetu zina matatizo makubwa na mara zote hakuna anayekubali kushindwa na wengine wanaishia katika kukataa uchaguzi, kufungua kesi, maandamano au kupigana vita za kuuana kabisa!
UROHO WA MADARAKA WALIOPO MADARAKANI HAWATAKI KUONDOLEWA WANATAKA WAFIE MADARAKANI WAO NA WATOTO NA WAKE ZAO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Afrika baada ya Uhuru hakuna mfumo ulio salama si afya,elimu,siasa ,uchumi,nk yote imekufa
Uzuri uwongo na fikra kama hizo wanazo walamba miguu na makobazi tu.

Hata Ulaya na Marekani mifumo yao si salama na mingi imekufa zaidi kushinda hata ya Afrika.
 
UROHO WA MADARAKA WALIOPO MADARAKANI HAWATAKI KUONDOLEWA WANATAKA WAFIE MADARAKANI WAO NA WATOTO NA WAKE ZAO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Umesha angalia Bunge la Marekani au la Uingereza? Hivi unajua kuna vizee vingapi na maukoo yao yanayoshikilia majimbo tangia enzi na enzi?

Siyo kweli kwamba uroho wa madaraka uko sana Afrika. Hatahivyo hiyo ni hulka ya Binadamu na haijalishi ngozi yako ina rangi gani.
 
Heading ya bandiko lako ndio inayotoa jibu la swali uliloliuliza !
Ni kwamba wazungu wanaheshimiana ndio maana unawaona na kuwasikia jinsi wanavyofanya chaguzi zao na wanavyoendesha siasa zao za kistaarabu !
Siasa gani za Kistaarabu?
Nchi hizo sasa zimekumbatiwa kwa namna moja au nyingine na ma Fascist. Wanashikana mashati kuanzia europe mpaka Amerika!

Wazungu, likija suala la kuheshimiana hawana kabisa.
 
Kuna ujinga mwingi tu huko uzunguni tatizo mnalishwa matango pori na western Media....walichojaaliwa wao hawasemani vibaya ...au umesahau kuwa Trump alilalamikia wizi wa kura
Sasa katika mamia ya wagombea urais waliowahi kupita Marekani tangu uhuru mtu mmoja tu kusema amaeibiwa kura huoni huo mfumo unafanya kazi vizuri na uko thabiti sana.
 
Siasa gani za Kistaarabu?
Nchi hizo sasa zimekumbatiwa kwa namna moja au nyingine na ma Fascist. Wanashikana mashati kuanzia europe mpaka Amerika!

Wazungu, likija suala la kuheshimiana hawana kabisa.
Kwenye Chaguzi zao wanaheshimiana ndio maana mizengwe mizengwe inakuwa haipo na kama ikitokea kidogo kama ilivyotokea enzi za Rais Trump inaonekana ni jambo la ajabu sana na linakemewa mpaka leo hii !!
Kwa sababu wao wanaamini siasa sio Uadui !! 🙏🙏
 
Elimu uliyosoma ndio tatizo lenyewe.
Hatuwezi kuwa na mfumo unaofanana dunia nzima huku tuna tofautiana mila na desturi.
Kwahiyo Demokrasia sio mfumo wa maana kwa sehemu zetu nasi tunayo Demokrasia yetu hiyo ndio ilitakiwa kufuatwa
 
Back
Top Bottom