Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,274
- 10,844
Hakuna atakae jibu hiliFaida wanazotaja either ni mutually au mambo ambayo wangeweza kufanya wao binafsi bila uwepo wa mwanamke. Suala la kununua kiwanja na kujenga hauhitaji kuamasishwa na mwanamke
Suala la sex na watoto ni mutually. Mwanaume pia anatoa mbegu na anafadhiri kifedha safari yote ya ujauzito mpaka kujifungua, pia watoto ni wa wote. Suala la sex pia ni starehe ya wote
Mpaka dakika hii sijaona hata mmoja alietaja kitu ambacho mwanamke alikifanya single handled kikabadilisha maisha yake mfano wanaume wanavyosomesha wanawake, kuwafungulia biashara, kuwapa mtaji, kuwatoa kwenye dhiki n.k