Ni mafanikio gani ambayo umeyapata kupitia mwanamke?

Ni mafanikio gani ambayo umeyapata kupitia mwanamke?

Hapa sijaona jipyaaa😄😄
Faida wanazotaja either ni mutually au mambo ambayo wangeweza kufanya wao binafsi bila uwepo wa mwanamke. Suala la kununua kiwanja na kujenga hauhitaji kuamasishwa na mwanamke

Suala la sex na watoto ni mutually. Mwanaume pia anatoa mbegu na anafadhiri kifedha safari yote ya ujauzito mpaka kujifungua, pia watoto ni wa wote. Suala la sex pia ni starehe ya wote

Mpaka dakika hii sijaona hata mmoja alietaja kitu ambacho mwanamke alikifanya single handled kikabadilisha maisha yake mfano wanaume wanavyosomesha wanawake, kuwafungulia biashara, kuwapa mtaji, kuwatoa kwenye dhiki n.k
 
Kwangu sina mazuri niliyoyaona ila kuna wanawake wameolewa na rafiki zangu kuna muda shetani uwa anakuja tujadiliane eti vipi mmoja wa rafiki yangu akifa si nimrithi mmoja wa shemeji yangu ?
Uwa nakubaliana na shetani asilimia mia maana wale wamba hawajaoa wanawake ila ni wake aisee.
 
Wanaume huwa hawacheki kizembe hivyo

Mkeo anakupikia chakula, anahakikisha nyumba ni Safi na salama, anakupa akili iliyotulia (kupitia tendo la ndoa), anakufulia nguo, ukiumwa anakuuguza

Leo unasema hakuna faida yoyote kuwa na mke. Ni upumbavu huo
Cc:Sweetfella
 
Amenizalia watoto wazuri, nikirudi nyumba inanukia, napikiwa msosi mzuri, anawalea wanangu ktk maadili Bora, ananifulia, ananipa heshima ktk jamii inayonizunguka. Ukweli binafsi mwanamke anafaida ila tu ukimpata wa kuendana nae. Nb: kumbukeni pia kuishi nao kimachale sana, backup ni mhimu, usijisahau sana ukiamini mkeo ni ndugu Yako😄
 
Back
Top Bottom