Ni kweli taarifa ya Polepole imezima tamko la Gwajima?

Ni kweli taarifa ya Polepole imezima tamko la Gwajima?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,848
Je, ni kweli upotoshaji wa polepole umefunika uropokaji wa gwajima huku Lisu akiwa amesahaulika kabisa mitandaoni, maskini dah

Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
3F9BD243-6B7C-4E2A-A5C9-A5FF5AD5194D.jpeg
 
Drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Dah mpwa pumzika sasa 😁😁😁😁
 
Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu wajumbe walikupitisha?
 
Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

IMG_20240428_070927.jpg
 
Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Watu wanakusikia ukizungumza ukimaliza watu wanaendelea na majukumu yao.Akija mwinginena mwingine tunamskiliza mara tu amalizapo kuzungumza tunaendelea na majukumu yetu.Hata wewe Tlaatlaah siku ukizungumza tutakusikiliza mara umalizapo maisha yanaendelea kujenga taifa na familiaHii ni desturi ya watanzania wazalendo hasa ukiwa unazungumza utapeli wa kisiasa
 
Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Jana polepole amekupelekea moto Sasa endelea kuinama hivyo hivyo mpaka zamu ya jasusi la mbinguni ifike
 
Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ni sisi bado na rungu za bichwa vya wahuni,hatitoki kwenye reli ng'o
 
Tafsiri ya Cartoon

Pole Pole anawaambia CCM na Serikali kuhusu mwendo hatarishi katika kuongoza nchi na rough za uchaguzi ila wao wamekomaa mwendo wa ngiri mkia juu na hawana brake... what do they expect?View attachment 3448974
ni Lisu pekeyake ndie alitumia mwendokasi kuendesha taasisi na kuzipindua,

awali Tundu Lisu chini ya miezi miwili akaitumbukiza TLS mtarooni halafu akatoroka na kuitelekeza, baadae tena akaja akaichukua chadema, ndani ya muda mfupi mno kwa makusudi kabisa akaitumbukiza chadema shimoni mpaka leo haijatolewa huko shimoni alipoitumbukiza 🐒
 

Attachments

  • IMG-20250702-WA0049.jpg
    IMG-20250702-WA0049.jpg
    89.1 KB · Views: 12
Je, ni kweli upotoshaji wa polepole umefunika uropokaji wa gwajima huku Lisu akiwa amesahaulika kabisa mitandaoni, maskini dah

Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Namna polepole alivyowasambaratisha ccm

 
Ni sisi bado na rungu za bichwa vya wahuni,hatitoki kwenye reli ng'o
waropokaji wamajificha uhamishoni huko malofa mkishangilia nyuma ya keyboard kama mazuzu vile ,

dah,
umaskini wa kifikra ni kitu ndezi sana aise 🐒
 
Namna polepole alivyowasambaratisha ccm

yaani mropokaji katulia zake mafichoni halafu kundi la malofa limejaa jf kushangilia kupotoshwa kindezi na kubebwa ufala wa kifikra na msukule huo uliowabeza kwa dharau sana awali.

umaskini wa kifikra ni mzigo wa mateso mazito mno kwa ndugu zangu msioelewa na kufahamu mambo haya kwa kina.

Poleni sana kubebwa ufala wa kifikra na mkabebeka 🐒
 
Je, ni kweli upotoshaji wa polepole umefunika uropokaji wa gwajima huku Lisu akiwa amesahaulika kabisa mitandaoni, maskini dah

Ama kwa hakika, drama, maisha na siasa zisizo na athari kwa jamii zinaenda kwa kasi sana Tanazania, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi wa kihistoria Tanzania utakaofanyika Oct 29,2025.

kulikoni wote wamepuuzwa na jamii nzima kwa pamoja licha ya kuzidiana trending?
Unadhani Kwanini siasa majitaka kwenye mambo ya msingi zinapuuzwa na kila mTanzania?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Uchaguzi huru, haki na wa wazi.......UNAONGEA KAMA VILE KIPANDE CHA mb** kiko sehemu za siri.
 
Akikujibu uni tag 😄
Gentleman mwanangu kila nkimuliza hanijibu

Ova
usipotoshe wadau mrangi

wajumbe ni ndugu na familia kwa wanaCCM wote walio tia nia za ubunge na udiwani, na walishafanya wajibu wao kwa weledi mkubwa sana, na sasa vikao vya uteuzi taifa vinaendelea na kazi yao ya uteuzi.

kumbuka,
kilichofanyika ni kura za maoni, ambapo matokeo yake yanaweza kupelekea yeyote miongoni mwa waliopigiwa kura za maoni akepewa fursa ya kupeperusha bendera ya chama uchaguzi mkuu wa kihistoria October.

Na ndio maana huoni mbwembe za sijui nani kashinda au hajashindwa kura za maoni. Ni vizuri kufahamu kwamba yale ni maoni tu na sio turufu ya kugombea ubunge.

Ni vizur zaidi kua wastahimilivu na wenye subra vikao vikiendelea 🐒
 
Uchaguzi huru, haki na wa wazi.......UNAONGEA KAMA VILE KIPANDE CHA mb** kiko sehemu za siri.
Yes gentleman,
uchaguzi mkuu huru,wa haki na wa wazi, utafanyika Tanazania mnamo mwezi October, 29,2025.

usipange kukosa kupiga kura hiyo muhimu sana kwa mustakabali wa Taifa 🐒
 
usipotoshe wadau mrangi

wajumbe ni ndugu na familia kwa wanaCCM wote walio tia nia za ubunge na udiwani, na walishafanya wajibu wao kwa weledi mkubwa sana, na sasa vikao vya uteuzi taifa vinaendelea na kazi yao ya uteuzi.

kumbuka,
kilichofanyika ni kura za maoni, ambapo matokeo yake yanaweza kupelekea yeyote miongoni mwa waliopigiwa kura za maoni akepewa fursa ya kupeperusha bendera ya chama uchaguzi mkuu wa kihistoria October.

Na ndio maana huoni mbwembe za sijui nani kashinda au hajashindwa kura za maoni. Ni vizuri kufahamu kwamba yale ni maoni tu na sio turufu ya kugombea ubunge.

Ni vizur zaidi kua wastahimilivu na wenye subra vikao vikiendelea 🐒
Ndiyo mambo yalivyo kuvumilia tu

Ova
 
Back
Top Bottom