Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,309
- 37,106
- Thread starter
- #21
vikao vya kitaifa vya uteuzi vinaendelea gentleman, huenda kesho, wale ambao chama kitaridhishwa nao wakatangazwa rasmi.Mkuu wajumbe walikupitisha?
Ni muhimu kua wastahimilivu na wenye subra kuhusu hilo.
But wajumbe walifanya kazi nzuri mno kwangu na ninawashukuru sana kwa kunipatia nafasi ya kuniskiliza, kunielewa na hatimae kwa kura za hiari yao kuamua walichoamua kwa maslahi yao wenyewe.🐒