Acha uongo wewe, mnakula vibuku buku ndio maana Jana hujalala unasubiri Polepole anasema niini. Ndio maana saa tisa usiku ukarusha post ya kukosoa na kutukana. Unalipwa wewe. Mkeo ulimwacha na nani mpaka saa Tisa uko macho kodo unamkosoa Polepole?Gentleman,
kazi za kizalendo za kujitolea kama hii ya kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi, malipo yake ni neema na baraka za Mungu tu na si vinginevyo š