Mkuu mimi nilijipa moyo kama wewe lakini leo nakumbuka maneno niliyoyaona kuwa ni kejeli toka kwa wadau humu JF nikasinga kuhudumia dem wangu aliyekuwa ccp na nikaenda mbali zaidi kwa kumpeleka mdogo wake shule baada ya kuona kashindwa kutokana na familia yake kukosa pesa. Mkuu katafute uzi huu humu JF "MCHUMBA KAENDA CCP" halafu upitie taratibu then nitafute nitakupa somo hata kwa simu mimi nitakupigia tu nikueleza kijana mwenzangu.
NEVER TAKE A GIRL TO SCHOOL NOR COLLEGE FOR THE SAKE OF MARRIAGE.
aaaah hata akitokea yule siwezi kumuacha nitachepuka nae tu kwa siri asijue lakini kumuacha hapana, namuonea huruma mkaka wa watuhahahahah acha uongo mkuu yule unayempenda hadi kuchanganyikiwa akijitokeza si utampiga teke la tembo jamaa
Nimekuelewa sana ndg.Anasomeshwa lakini lazima kuwe na mkataba ambao utasimamiwa na lawyer i.e. notary public ili kuahakikisha kama mkataba ukivunjwa basi pesa inarudishwa na ka-interest kidogo. Na ni gharama zote kuanzia accommodation, meals, books, stationery, transport, clothing, research, etc. Huyo mchumba akikataa ku-sign hiyo contract basi ujue hapo hamna kitu. Ila mke wa ndoa ndio wa kusomesha kwa sababu tayari unaye na elimu yake ni guaranteed kunufaisha familia yako.
Anasomeshwa lakini lazima kuwe na mkataba ambao utasimamiwa na lawyer i.e. notary public ili kuahakikisha kama mkataba ukivunjwa basi pesa inarudishwa na ka-interest kidogo. Na ni gharama zote kuanzia accommodation, meals, books, stationery, transport, clothing, research, etc. Huyo mchumba akikataa ku-sign hiyo contract basi ujue hapo hamna kitu. Ila mke wa ndoa ndio wa kusomesha kwa sababu tayari unaye na elimu yake ni guaranteed kunufaisha familia yako.
aaaah hata akitokea yule siwezi kumuacha nitachepuka nae tu kwa siri asijue lakini kumuacha hapana, namuonea huruma mkaka wa watu
siko nae sababu ya kumuonea huruma nadhani nampenda sana sana ndo maana namuonea huruma.kumbe unamwonea huruma na sio kumpenda? !!!! usiwe na mtu kwa ajili ya huruma itafika siku atajuta kuzaliwa
si kweli mbona mie nasomeshwa na mchumba'ngu na sina mawazo ya kumuacha labda kama ulikuwa unapenda msaada wake na si mwenyewe
Et utachepuka kwa siri.... Ha haaa...aaaah hata akitokea yule siwezi kumuacha nitachepuka nae tu kwa siri asijue lakini kumuacha hapana, namuonea huruma mkaka wa watu
happymsafi mi pia nasomesha.... Isije ikawa niwewesiko nae sababu ya kumuonea huruma nadhani nampenda sana sana ndo maana namuonea huruma.
Zuia kuzama mapemaMepenzi ni ugonjwa hatari sana kaka, unajua tena ukizama ni ngumu kutoka...
Serious? Ushawahi kupenda?Kwa nini umsomeshe mtoto wa Mtu kwani hana wazazi
Huo ni ulimbukeni wa Mapenzi na ujinga usio wa kawaida
kweli akitokea yule itabidi nichepuke hakuna option nyingine. unaemsomesha we atakuwa mwingine si mimi 🙂 🙂
Mimi sipendi natamani nikipewa natumia mara moja ama mbiliSerious? Ushawahi kupenda?