Ni kweli mchumba hasomeshwi?


Never without a signed agreement!
 
Nimekuelewa sana ndg.
Nashkuru sana kwa ushauri mxuri.
 
Tatizo majukumu ya mzaz anapewa Mpenz yani mtu ankula Ada halafu anakuomba Umlipie haha? Si Ubwege huo
 
 
aaaah hata akitokea yule siwezi kumuacha nitachepuka nae tu kwa siri asijue lakini kumuacha hapana, namuonea huruma mkaka wa watu

kumbe unamwonea huruma na sio kumpenda? !!!! usiwe na mtu kwa ajili ya huruma itafika siku atajuta kuzaliwa
 
si kweli mbona mie nasomeshwa na mchumba'ngu na sina mawazo ya kumuacha labda kama ulikuwa unapenda msaada wake na si mwenyewe

aaaah hata akitokea yule siwezi kumuacha nitachepuka nae tu kwa siri asijue lakini kumuacha hapana, namuonea huruma mkaka wa watu
Et utachepuka kwa siri.... Ha haaa...
siko nae sababu ya kumuonea huruma nadhani nampenda sana sana ndo maana namuonea huruma.
happymsafi mi pia nasomesha.... Isije ikawa niwewe
 
Oa kwanza ndio umsomeshe,
Kasheshe ipo kama kana miaka 15 unakasomesha ili kakue wakati unasubiri kukaoa.
 
Usijaribu kabisa uta baki na manyoya tu na mfano hai mchizi amesomsha tena secondary kwa ridhaa ya wazazi kabisa mwisho wa siku harusi kubwa na msela mwingine
 
Kama unania ya kumsomeaha n kumsaidia assume unamsomesha yatima ili usitegemee chochote kwake, kama memsaidia tu, tatizo watu huwa na high expectations matokeo yake vitu vikiwa tofaut ni stress tu mwishowe uchiz au kujiua
 
Mkuu usijaribu, labda muwe marafiki kwanza mpaka hapo atakapomaliza.

Mimi ilishanitokea nilikuwa nasaidia gharama pale nilipoweza. Alikuwa anasoma mkoa na mm Niko mkoa mwingine. Mawasiliano yalikuwa mazuri tu.

Alipobakisha miezi minne tu kumaliza kimbembe kikaanza, mzee naambiwa mm Na we basi, hatuwezi kuendelea kama zamani.

Trust me, hao watu akili zao huwa za mkumbo na hubadilika muda wowote, hawajali wala, hasa kama mko mbali
 
Lakini pia Mtoa mada mbona watonesha watu majeraha walikuwa wameshasahau?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…