Jack Wabukoba
Member
- Dec 11, 2014
- 11
- 9
Hi ndugu,
Naambiwa sana na kusoma simulizi kuwa mganga wa kienyeji anaweza kumuwezesha mtu kupata utajiri. Utajiri tena wa pesa taslimu (CASH) noti tupu. Kwamba unaenda kwa mganga na ukitoka tayari unazo, unatoka na maburungutu ya kutosha kwenye mfuko (begi).
NAOMBA anayejua anijuze kwamba JE, HII HABARI NI YA KWELI? Na huyo mganga huipata wapi hiyo cash anayokupa mfano 250M?
Naambiwa sana na kusoma simulizi kuwa mganga wa kienyeji anaweza kumuwezesha mtu kupata utajiri. Utajiri tena wa pesa taslimu (CASH) noti tupu. Kwamba unaenda kwa mganga na ukitoka tayari unazo, unatoka na maburungutu ya kutosha kwenye mfuko (begi).
NAOMBA anayejua anijuze kwamba JE, HII HABARI NI YA KWELI? Na huyo mganga huipata wapi hiyo cash anayokupa mfano 250M?