Naomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Yah wengi ni maigizo yani life style yao inawaponza maana mwisho wa siku hawataki kukubaliana na hali ndo kujiingiza kwny kutumia dawa za kulevya au kuvuta mabangiNaomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.
Nilipigwa na butwaa kuja kuona harmo ile gar ya aud 4 alipost na kusema yake, wakat ameachwa na sarah tukaona gari linaombwa.
Nikawaza msanii anaejiita mkubwa anashindwa kumiliki Aud 4 ya milion 20,
Basi niishie kusema tu hata hizo milion 600 usikute ni maneno tu ya media, lakini naamin wasanii wetu wanaishi maisha ya kipato cha chini sana.
ebitoke aliwah kusema nipost gar langu, kisha akala kona! Nikajua huyu itakuwa gar hana ama analo la kawaida tofaut na sifa anazotaka jamii imchukulie
Ni pesa kidogo?Mhh mmakonde naona bado milioni 600 inamuumiza sana
Yani wanaija wanafanya mambo makubwa na hawapigani mafumbo ya hivi. Nahisi muda mwingine sisi ni kituko mbele ya watu wengine.Kwa style hizi za mabifu na mafumbo ndio mziki wa Bongo utaendelea?
Ina shangaza sana!
FactWw mtu anayetumia ngada humjui hata kwa kumuona?? Ww ukimuangalia Diamond huoni kabisa kuwa anatumia mihadarati???
Uffaller tu, utafikiri anamhurumia kumbe anataka ajulikane kuwa ana taarifa za mtu tuWabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.
Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...
Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana, bongo nyoso aisee. Mtu huishi nae hiyo kua na stress umeiona kwenye IYO
Wabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.
Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...
Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana, bongo nyoso aisee. Mtu huishi nae hiyo kua na stress umeiona kwenye IYO
Sasa unga ukimkolea, hayo mafanikio aliyofikia ataweza kuyasimamia kweli?!Kiukweli Mondi anatumia Unga, inaumiza lakini ndio ukweli sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao, hakika umaarufu una gharama sana.