Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,926
- 4,523
Huwezi kufananisha nyota na jua au hata mwezi na Zanzibar hivyo vitu vimejitenga na hi Dunia yetu lakini Zanzibar ni part ya hii dunia yetu
Zanzibar na Dar ni karibu mno maana umbali wake sio zaidi ya km 300 yani umbali wa kutoka dar to Zanzibar ni sawa na Dar to Kiowa
Hatuioni Zanzibar tukiwa Dar sababu dunia ni Duara
Sent using Jamii Forums mobile app

