Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

Macho yanauwezo wa kuona mbali sana, ndio maana tunaweza kuona sayari kama mars & mwezi & nyota.


Zanzibar hatuwez kuona sababu ya duara la dunia....

Zanzibar n karibu kuliko mars
Kiongozi! Zanzibar ni Nchi(Kisiwa/Mji) uliyondani ya Sayari Dunia.

Mars ni Sayari, Mwezi ni Satellite ya asili na Nyota ni magimba makubwa katika anga yanayong'aa na kutoa mwanga. Sayari huwa zinang'aa na hii hutokana na Sayari huwa zina akisi mwanga kutoka kwenye Jua, halikadhalika na mwezi vivyo hivyo. Mars, mwezi na nyota zina maumbile makubwa.

Zanzibar haing'ai wala haina nuru yoyote inayoifanya ing'ae, na laiti kama ingelikuwa na nuru kama ya nyota basi nuru yake tungeishudia kwa macho ndani ya hii Tz pasipo kuhadithiwa.

Tofautisha muono wa kuona kwa tambarare na muono wa kuona juu. Nukta yako ni kwamba kama lenzi ya macho ina ukomo mbona mwezi tunauona(???)Lakini umbali wa kutoka Dunia-mwezi ni km 384,400.

Tu assume kutoka Kigamboni mpaka Zanzibar ni tambarare tupu, hakuna miinuko wala milima wala bahari. Wewe umesimama km 0 kutoka Kigamboni, ila ulipo simama wewe hapo Kigamboni-Zanzibar ni umbali wa km 384,400. Kwa hayo macho ya kawaida ambayo unasema unauona mwezi kwa hizo km, kwa huo mfano Zanzibar kwa km hizo hizo utaiona?
 
Lakini kumbuka zipo prove za kisayansi zinazoonyesha kuwa dunia n duara, mfano
1. Sunrise & sunset
2. Ship navigation
3. Lunar Eclipse

Kama ukichukulia mawazo yako kuwa dunia n FLAT, hivi vitu vyote haviwezi kutokea bro
Hivi vitu wanapaswa kukalilishwa watoto wa shule za sekondari, kiuhalisia dunia sio duara.
Kuna mifano mingi sana naweza kukupa utashangaa huko kukalilishwa tulikopewa kuna tuponza sana
 
Hili ni "Chaka" la mwaka, hiyo miinuko, milima na mabonde iko Baharini?

Jibu ni kua Kigamboni huoni Zanzibar sababu ya upeo mdogo wa macho (limitation) kuona mbali. Yaani uwrzo wa macho umefikia kikomo chake. Labda nikuulize, ukichukua Darubini kali ukaitizama Zanzibar kutokea Kigamboni, hutoiona?

Huwezi kuiona mkuu,hii kitu inaitwa ships visibility.

Na iliitwa hivyo baada ya mabaharia kutokuwa na uwezo wa kuona meli iliyo mbali,licha ya kuwa na periscope zenye lenzi kali.
 
Kiongozi! Zanzibar ni Nchi(Kisiwa/Mji) uliyondani ya Sayari Dunia.

Mars ni Sayari, Mwezi ni Satellite ya asili na Nyota ni magimba makubwa katika anga yanayong'aa na kutoa mwanga. Sayari huwa zinang'aa na hii hutokana na Sayari huwa zina akisi mwanga kutoka kwenye Jua, halikadhalika na mwezi vivyo hivyo. Mars, mwezi na nyota zina maumbile makubwa.

Zanzibar haing'ai wala haina nuru yoyote inayoifanya ing'ae, na laiti kama ingelikuwa na nuru kama ya nyota basi nuru yake tungeishudia kwa macho ndani ya hii Tz pasipo kuhadithiwa.

Tofautisha muono wa kuona kwa tambarare na muono wa kuona juu. Nukta yako ni kwamba kama lenzi ya macho ina ukomo mbona mwezi tunauona(???)Lakini umbali wa kutoka Dunia-mwezi ni km 384,400.

Tu assume kutoka Kigamboni mpaka Zanzibar ni tambarare tupu, hakuna miinuko wala milima wala bahari. Wewe umesimama km 0 kutoka Kigamboni, ila ulipo simama wewe hapo Kigamboni-Zanzibar ni umbali wa km 384,400. Kwa hayo macho ya kawaida ambayo unasema unauona mwezi kwa hizo km, kwa huo mfano Zanzibar kwa km hizo hizo utaiona?

Hii ni kwa mujibu wa hisia zako tu,au utafiti wako umegharimu muda gani??
 
Kusimama Kigamboni na kuona mlima wa maji ni sawa na hautoweza kuona Zanzibar kwa sababu, Jicho lina ukomo wake wa kuona na ukomo wa jicho kuona kama ikiwa sehemu ni tambarare kwa kiasi chake ni km 48 tu, si kwa kuangalia juu bali ni kwa kuangalia sehemu iliyo tambarare.

Umbali wa kutoka Dar(Kigamboni) mpaka Zanzibar ni km 74. Kwa km hizo lenzi ya jicho imezidiwa km 26 za kuona. Kwa hiyo, hutoweza kupaona Zanzibar. Ikiwa kama utatumia kifaa chenye kukuza na chenye uwezo wa kuona zaidi ya Km hizo 74 nakuhakikishia Zanzibar utapaona. Hata ile kuona meli kwa mbali kama kwa juu yake inachomoza si kwamba Dunia ni tufe bali ndiyo ukomo wa macho kuona.

Ukitaka kuthibitisha hili simama kwenye Barabara ya lami ambayo ni tambarare ambayo ni ya km nyingi. Gari ikianza kuchomoza inaanza kuonekana body yake ya juu ila kadri unavyoanza kukaribia uwezo wa km za jicho kuona linanza kuonekana zima kidogo kidogo mwisho wa siku gari nzima inaonekana.

Kutoka beti yako ya mwisho.

Hiyo gari inachomoza kwenye mabonde na miinuko a barabara,sio kwenye mkunjo wa umbo la dunia.ni barabara gani umeishawahi kukutana nayo hapa tz imenyooka km 20 tu,achana na 48 za ukomo wa macho kuona.

Maana inaonekana sample za research yako ni za hapa na pale.
 
1. Earth kuwa sphere, oval, round au flat sifahamu japo shule walifanya kila njia kuniaminisha ni Sphere japo kwa uwelewa wangu ni FLAT 'Bense'.
2. Kama naamini ni FLAT 'Bense' Australia wapo oke wamesimama vizuri tu.
3. Mduara hauna kikomo Ila Mnyoofu/Msitatili unakikomo nikiwa na maana Dunia inakikomo lakini Universe haina Earth=FLAT 'Bense' lakini Universe=Sphere+Oval+Circle

Kama uliwahi kuambiwa/kuskia sayari ya Pluto imetoweka kisha kuonekana na kutoweka means Universe inajibadili maumbo yake Sphere, Oval na Circle.

Dunia sio Sphere bali FLAT 'Bense' kwa maono yangu mimi. Lakini kiuhalisia shika Earth Globe zinazopatikana shuleni, hospitali na madukani angalia sphere eneo China ilipo na US au Canada ajiulize umbali huo ni sahihi kutumia masaa (Flani) kwa safari zinazowahusisha?! Kisha rudi Flat Earth ujumlishe, utoe na kuzidisha utapata jibu.

Note: Kuna haiba ya Uthubutu na Uwoga chagua itakayokupendeza na kufaa.
Mmh I disagree na theory zako za Flat 'Bense' earth. Means kusingekuwa na trans-pacific route za Washngton to Tokyo.. Route zote ilibidi ziwe Trans-atlantic, Trans-europe/Africa, Middle east then far east.
 
Kutoka beti yako ya mwisho.

Hiyo gari inachomoza kwenye mabonde na miinuko a barabara,sio kwenye mkunjo wa umbo la dunia.ni barabara gani umeishawahi kukutana nayo hapa tz imenyooka km 20 tu,achana na 48 za ukomo wa macho kuona.

Maana inaonekana sample za research yako ni za hapa na pale.
Kwa hiyo Duniani nchi yenye barabara ya lami ni Tanzania tu? Zitanue fikra zako.
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima)
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
Broo unazidi kufanya mambo yaonekane magumu umesoma vitabu gani mwenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ni duara.
Why watu waliopo upande wa chini kama Australia hawadondoki?.
Chukua mpira wa miguu (football) uning'inize na kamba kishwa mchukue sisimizi mweke kwenye kitako chini.
Jibu utakalopata sisimizi atatembea wala hatajua kama yupo upsidedown hii ni kwa sababu ni mdogo sana compared to the size of football hivyo yeye atajiona yupo kawaida tu. Pia ulowanishe maji mpira, utaona matone ya maji yameganda wala hayatadondoka hadi yakauke kwa evaporation this is because the size of the drop of water compared to the football.
Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
Broo umefafanua vizuri sana na huo mpira ukipunguzwa upepo ndio yanapatikana mabonde na milima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi! Zanzibar ni Nchi(Kisiwa/Mji) uliyondani ya Sayari Dunia.

Mars ni Sayari, Mwezi ni Satellite ya asili na Nyota ni magimba makubwa katika anga yanayong'aa na kutoa mwanga. Sayari huwa zinang'aa na hii hutokana na Sayari huwa zina akisi mwanga kutoka kwenye Jua, halikadhalika na mwezi vivyo hivyo. Mars, mwezi na nyota zina maumbile makubwa.

Zanzibar haing'ai wala haina nuru yoyote inayoifanya ing'ae, na laiti kama ingelikuwa na nuru kama ya nyota basi nuru yake tungeishudia kwa macho ndani ya hii Tz pasipo kuhadithiwa.

Tofautisha muono wa kuona kwa tambarare na muono wa kuona juu. Nukta yako ni kwamba kama lenzi ya macho ina ukomo mbona mwezi tunauona(???)Lakini umbali wa kutoka Dunia-mwezi ni km 384,400.

Tu assume kutoka Kigamboni mpaka Zanzibar ni tambarare tupu, hakuna miinuko wala milima wala bahari. Wewe umesimama km 0 kutoka Kigamboni, ila ulipo simama wewe hapo Kigamboni-Zanzibar ni umbali wa km 384,400. Kwa hayo macho ya kawaida ambayo unasema unauona mwezi kwa hizo km, kwa huo mfano Zanzibar kwa km hizo hizo utaiona?
Akili kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakubwa,

Naomba kufahamu kidogo. Kutokana na umbile la dunia( sphere), bara la Australia lipo Southen Pole of the Earth, maswali huwa najiuliza je watu, majengo & milima ipo upside down??

Kama ni kweli kwanini hawahisi hiyo hali???

Najua hawazezi kuanguka kutokana na Gravity force.

Pia ningependa kujua Universe is infinity space?? Au kuna ukomo

LAKINI WATU MNAKWEPA SWALI, JE WATU WA ÀUSTRALIA WAPO UPSIDE DOWN.... PIA NA BARA LA ANTARCTICA
View attachment 1021090

Nawasilisha.
north na south ni ideal juu na chini ni ideal so huna haja ya kuumiza kichwa kuhusu hilo
 
Hili ni "Chaka" la mwaka, hiyo miinuko, milima na mabonde iko Baharini?

Jibu ni kua Kigamboni huoni Zanzibar sababu ya upeo mdogo wa macho (limitation) kuona mbali. Yaani uwrzo wa macho umefikia kikomo chake. Labda nikuulize, ukichukua Darubini kali ukaitizama Zanzibar kutokea Kigamboni, hutoiona?
Usiwe mbishi broo ukiwa kigamboni huioni Zanzibar ni kwa sababu dunia duara ukika kigamboni ukiangalia meli zinazo kuja utaanza kuona bendera and then kadiri inavyosegea na body inazidi kuonekana taratibu kana kwamba inatoka shimoni

Kama ingekuwa tatizo ni upeo wa macho basi usiku sehemu kubwa ya Dar tungeweza kuziona taa za Zanzibar tukiwa chini

Lakini ukiwa maeneo ya posta ukipanda katika magorofa marefu kama PPPF tower usiku taa za Zanzibar unaziona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini watu MNAKWEPA SWALI,

SWALI LINAULIZA JE WATU WA AUSTRALIA WAPO UPSIDE DOWN??
Upside down kivipi sasa?

Kila binadamu alipo tunapo andika muda huu kichwa kilipoelekea ndipo juu.[kwa tafsiri ya kibinaadamu].
 
Kama Dunia ni Duara, kwanini kuna nchi za Mashariki na za Magharibi?? Si mfano nchi za Nagharibi zikizunguka zinakuja tu kua za Mashariki?

Na unaamini kua ukitoboa tundu ardhini hapo ulipo (tuseme inawezekana) utaenda kutokezea nchi/sehemu ingine?
Hahahaha.

Hahahaha.

Sasa zitakuwaje za mashariki ilihali.

nchi zote zinazunguka pamoja mkuu? Inamaana nchi za magharibi zikizunguka imezunguka dunia nzima.

Na speed ni kubwa...binadamu ni kapunje ka mchanga kwenye dunia ni zaidi ya kapunje ka mchanga huhisi chochote.

Kumbuka toka unazaliwa umeukuta mzunguko na sio kwamba mzunguko umekukuta...huwezi kuuhisi huoni tofauti yoyote.
 
Back
Top Bottom