ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Dunia ni duara.
Why watu waliopo upande wa chini kama Australia hawadondoki?.
Chukua mpira wa miguu (football) uning'inize na kamba kishwa mchukue sisimizi mweke kwenye kitako chini.
Jibu utakalopata sisimizi atatembea wala hatajua kama yupo upsidedown hii ni kwa sababu ni mdogo sana compared to the size of football hivyo yeye atajiona yupo kawaida tu. Pia ulowanishe maji mpira, utaona matone ya maji yameganda wala hayatadondoka hadi yakauke kwa evaporation this is because the size of the drop of water compared to the football.
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Why watu waliopo upande wa chini kama Australia hawadondoki?.
Chukua mpira wa miguu (football) uning'inize na kamba kishwa mchukue sisimizi mweke kwenye kitako chini.
Jibu utakalopata sisimizi atatembea wala hatajua kama yupo upsidedown hii ni kwa sababu ni mdogo sana compared to the size of football hivyo yeye atajiona yupo kawaida tu. Pia ulowanishe maji mpira, utaona matone ya maji yameganda wala hayatadondoka hadi yakauke kwa evaporation this is because the size of the drop of water compared to the football.
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
