impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,838
- 7,891
Mkuu utakuwa umekosea Mimi nimeuliza swali kwa huyu anayesema dunia flat hili linatokeaje kwa dunia flat?Zanzibar ingekua inawaka yote kama Jua au Nyota ungeiona.
Pili Ukubwa nao unachangia, unadhani Zanzibar na Jua kipi kikubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
