ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Hahaha. Kunagololi za kwenye gari na baisikeli. But in short kama gololi ni ndogo kiasi kwamba hawezi kupiga hatua moja ni lazima ajishitukie tu. The issue here ni comparison kati kinachoishi juu ya dunia kinaukubwa kiasi gani kulingana na dunia.kwahiyo sisimizi ukimuweka kwenye gololi atajua yuko upside down
Sent using Jamii Forums mobile app