number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,462
Muhammad unaemzungumzia alikuwa hajui kuandika na kusoma... Itakuwa umemeza upupu.
Ata ivo, nijibu swali langu basi. Ukisema jua linazama, huwa linazama wapi? unaaminisha kuwa linadidimia chini ama?
Ama ukisema jua linazama upande wa maghribi unataka kutwambia kuwa dunia imesimama na jua ndio linalomove kutoka mashariki kwenda magharibi?
Mkuu hiko ni kitabu cha dini ya wenzetu mi cjui lolote na uzi wake upo humu wala hata maandishi ya kiarabu naona kama mtoto kachora tu mi mwenyewe nataka kujua kwenye wanasayansi wa bongo ambao hata tooth sticks tuna agiza toka china ila tunajifanya leo tunajua kila kitu
Sent from my iPhone using JamiiForums