smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Heee!!! kumbeee hukuwa nayooo?Mkuu wapi nilikwambia namiliki basi?
Heee!!! kumbeee hukuwa nayooo?Mkuu wapi nilikwambia namiliki basi?
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
Mi mwenyewe nataka ghorofa na lazima nijenge ni kupenda tuuuuWazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
Imeisha hioVitu vingine ni kujitafutia tu kurogwa
Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35mMkuu hapana. Na material zingine tunachukua viwandani kabisa. Sishangai wewe kushangaa ama kukataa hizi gharama.
Nakumbuka enzi hizo kulikua na ugomvi wa majirani wawili. Mmoja na ghorofa mwingine hana. Na yule baba mwenye ghorofa ni engeneer. Yule wa chini ni ndugu yetu na ni wachokozi na wakorofi kwelikweli waakawa wanamtukana yile baba na kusema vibaha ghorofa lake. Nyumba ya wale ndugu zangu ni ya chini lakini kali mno. Nikisema kali ninkali. Sasa yule baba kwa hasira mwenye ghorofa akawaambia " sasa mnaongea nini wakati gharama ya nyumba yenu yote ndo msingi wa ghorofa yangu?" Nilishangaa sana watu wakanielekeza bado sikuelewa. Nilaja kufatilia kbs kwa wahusika wa kada hiyo. Na nikaona wanaojenga. Aisee... inafika. Nimeshuhudia kbs. Basi hapa namm najiliwaza nitajenga langu siku tuu
Niliambiwa watu huona gharama ni ndogo sometimes kwasababu wanajenga kwa kujibana sana na kuacha vitu vingine. Kama ulivyoona wataalam wakiainisha huko juu. Kuna mwingine anataka ujenz ule wa kufata protocols na uimara. Mwingine atapambana kwa mkono unapifikia mkuu. Ndo maana hata nyunba za chini tuu pia gharama hutofautiana.
Asante Mkuu. Wengi wanadhani ni kujikweza. Hakika nilidhani ni rahisi. Kwa sasa naelewa kwanini si wengi wanamiliki ghorofaHawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
uko sahihi. kuna jamaa yangu alijenga..msingi uligonga mpaka 100M. Unajua wengi wetu mawazo yetu yanaendana na vipato vyetu. kwa mwenye nazo..hiyo ni hela ya kawaida..asiye nazo..ndo hivo atakuja hapa atakwambia hiyo ni hela nyingi haiwezekani. Kikubwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake….Hawawezi kuamini binafsi nilikuwa naandaa estimate ya mteja wangu, Msingi upo kwenye 42m, hata tukianza project tukajibana vipi hatuwezi kutumia chini ya 35m
Alipomaanisha mjini alimaanisha sehem zenye huduma muhimu sio lazima pawe mjini au manispaa.Dada cha kushangaza hapa Arusha hakuna kiwanja cha milion 5,labda huko ndani kijijini kabisa.
Kuna jirani yangu hapa anauza miguu kumi kwa kumi na tatu kwa milion kumi na nne. Yan ni balaa
Sahihi kabisamkuu
uko sahihi. kuna jamaa yangu alijenga..msingi uligonga mpaka 100M. Unajua wengi wetu mawazo yetu yanaendana na vipato vyetu. kwa mwenye nazo..hiyo ni hela ya kawaida..asiye nazo..ndo hivo atakuja hapa atakwambia hiyo ni hela nyingi haiwezekani. Kikubwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake….
Kama una uwezo...ishi na kufurahia matunda ya jasho lako.
Kijijini kwetu kuna hizo huduma zote za muhimuAlipomaanisha mjini alimaanisha sehem zenye huduma muhimu sio lazima pawe jini au manispaa.
Ni kijiji kwenu kwenye mabenki angalau matatu mannee au ikishindikana basi mawili..sio wakala wa benki.Kijijini kwetu kuna hizo huduma zote za muhimu
Atleast wako ambao wana exposure zaidi. Maana kuna wengine wanaclaim ni show off. Binafsi maybe ningeambiwa bila kuona isingekua rahisi kuamini. Kila siku mpya tunajifunza jambo jipyamkuu
uko sahihi. kuna jamaa yangu alijenga..msingi uligonga mpaka 100M. Unajua wengi wetu mawazo yetu yanaendana na vipato vyetu. kwa mwenye nazo..hiyo ni hela ya kawaida..asiye nazo..ndo hivo atakuja hapa atakwambia hiyo ni hela nyingi haiwezekani. Kikubwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake….
Kama una uwezo...ishi na kufurahia matunda ya jasho lako.
Fashion tu, kama una hela fetua usingizi wa kutoshaWazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
Yaishie hewaniUnajua raha ya kutema mate ukiwa ghorafani wewe?