Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kuna wakati nawaonea huruma watu wanaoa na wenye mipango ya kuoa kama wanawake wenyewe kumbe wako hivi wakishaolewa na kupata mtoto au watoto wengi huanza harakati za kurudisha mahusiano yao na ex wake wa zamani.
Kipindi cha nyuma nilikuwa nina amini wanawake wengi wakishaolewa huwa hubadilisha namba za simu kuepuka usumbufu na kukata mawasiliano kabisa na wanaume aliowahi kudate nao ila kumbe hili jambo huwa ni la muda tuu baada ya muda kupita huanza kuwatafuta ma ex wao na tena cha kushangaza kumbe wanawake huwa hawafutagi namba kabisa za ex wao nasema hivyo jamani kwa sababu nina mifano mingi.
Je shida huwa nini
Kipindi cha nyuma nilikuwa nina amini wanawake wengi wakishaolewa huwa hubadilisha namba za simu kuepuka usumbufu na kukata mawasiliano kabisa na wanaume aliowahi kudate nao ila kumbe hili jambo huwa ni la muda tuu baada ya muda kupita huanza kuwatafuta ma ex wao na tena cha kushangaza kumbe wanawake huwa hawafutagi namba kabisa za ex wao nasema hivyo jamani kwa sababu nina mifano mingi.
Je shida huwa nini