Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Niko smart, natarajia kuoa na Nina hela kumbe hela ya Kula yenyewe naipata kwa mbinde Sana mpaka jasho la ugoko linitoke,,sina mpango wa kuoa (KATAA NDOA PRO MAX) na sina usmart wowote basi tu hawajanijua vizuri
 
Jamii inayo nizunguka huwa wanahisi au kudhan mm ni askali(shushushu) inapeleke kukosa baadhi ya huduma ninazo ziitaji kwa haraka.
 
Back
Top Bottom