LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,452
- 12,234
Take grammer class ?You need to care enough to go back to school and take a grammar class.
Or
Attend grammer class??
Take grammer class ?You need to care enough to go back to school and take a grammar class.
Yule jamaa bwana ni optimistic disminder balaa..yeye anawaza yake tu na ana make sure ana stick kwenye plan zake..Kwa nini kaka?
Your village witches care.Who cares!!!
So what!!???Your village witches care.
To take a grammar class.Take grammer class ?
Or
Attend grammer class??
Taking where???To take a grammar class.
That's something you need to answer on your own. 🌞So what!!???
Dah kitambo sana ile movie ni kali sana nitakuja itafuta niirudie.Yule jamaa bwana ni optimistic disminder balaa..yeye anawaza yake tu na ana make sure ana stick kwenye plan zake..
Sasa mpendwa katika bwana naomba tujumike pamoja jioni tuweze kufanya maombi ya kupata wenza.Mpenzi.
Watu wanahisi nina mwenza, kumbe sina hata, na hawaamini kabisa. Lol
Wanaume mke bora huyu hapaPesa/Elimu/Mtoto
Hata mtu nikimwambia sina hela au sijasoma anakataa katakata
Kuna movie 2 huwa siachi kuzingalia tola nimezijuaDah kitambo sana ile movie ni kali sana nitakuja itafuta niirudie.
Tag Locs, huu mwaka ni wa ku force.Sasa mpendwa katika bwana naomba tujumike pamoja jioni tuweze kufanya maombi ya kupata wenza.
Prison break je?Kuna movie 2 huwa siachi kuzingalia tola nimezijua
1. Blacklist
2. Jumong (hii naotzama toka 2010 mpaka leo)
AkiliNimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?"
Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa kueleweka"
Wewe je?
Ile sikuielewaga sana. Nilimpendaga skt.sarah tu mle ndani. Niliposikia yule scolfirld ni shoga nikaichukiaPrison break je?
MbeziTag Locs, huu mwaka ni wa ku force.