Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Nimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?"

Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa kueleweka"

Wewe je?
Akili, mara nyingi wanadhani na akili kubwa kumbe wapi, laiti wangeniona matendo ninayofanya nikiwa peke yangu wangekimbia mbioooo…
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom