Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Nimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?"

Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa kueleweka"

Wewe je?
Walijua wengi siko na Akili lakini kila nikikutana nao wananitegemea kufanya maamzi kwenye shida zilizo kubwa😂😂😂
 
Hunidhania kuwa Usalama (TISS) kumbe hata ofisi za TISS sijui zilipo
Hilo hata mimi limewahi kuni kumba kama mara tatu,watu sijui wakoje!!,unawambia mi ni mjasiriamali, lkn wapi hawakuelewi, Kuna kijiwe fulani DSM niliacha hata kutembelea,,jamaa mmoja alinisonga sana,ikabidi nimwambie mkuu samahani mi ni raia wa kawaida tu usinizanie ivyo,akapunguza kidogo,lkn bado akawa hajaridhika,watu wa hivi ndo uchangia kwa wengine ambao ni wahuni,kujigeuza kuwa matapeli.
 
Nimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?"

Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa kueleweka"

Wewe je?
Kuwa Nina gari, kumbe la jirani Huwa namuendesha alitaka kwenda Sehemu,kumbe hawajui kwamba hajui kuliendesha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom