Ni kawaida unapobadili vituo vya mafuta au aina ya mafuta gari kuwa nzito au nyepesi na kuongeza au kupunguza ulaji wa mafuta ?

Ni kawaida unapobadili vituo vya mafuta au aina ya mafuta gari kuwa nzito au nyepesi na kuongeza au kupunguza ulaji wa mafuta ?

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Mfano unapozoea kutumia mafuta ya Petrol ya kituo cha Puma aina ya Unleaed kwenda kituo cha Total wenye Petrol ya Excellium. Niliwahi kuona gari ikiwa nzito au nyepesi napobadili vituo hivyo pamoja na utofauti wa ulaji wa mafuta

Au unapobadili vituo vinavyotumia Petrol unleaded lakini kampuni tofauti, Mfano Puma na Oryx
 
Wengine hatuna magari sijui tutakaa upande gani bwashee.mangi min -me hiyo hali huwa inatokea kwa mjerumani wako...?
Sio lazima kila mtu awe na gari bwashee , nunua hata ka baiskeli kako kazuri na kakijanja weka maji yako ya kunywa kwenye ghala yake , vaa kofia ngumu na makava ya kuzuria magoti ,jipindi kwenye kausafiri kako , kuwa bize na mambo yako umatumbini watakuita mzungu🤣
 
Sio lazima kila mtu awe na gari bwashee , nunua hata ka baiskeli kako kazuri na kakijanja weka maji yako ya kunywa kwenye ghala yake , vaa kofia ngumu na makava ya kuzuria magoti ,jipindi kwenye kausafiri kako , kuwa bize na mambo yako umatumbini watakuita mzungu
 
Mimi naona nikitumia mafuta ya TOTAL ENERGIES gari inakuwa nyepesi Sana na huwa natumia kama nafanya safari ndefu.
PUMA ndiyo natumia Kwa muda mrefu nikiwa mjini kwasababu naona ulaji wa mafuta unakuwa vizuri Sana na gari inakuwa very smooth
 
Kama mafuta yote ni Unleaded yanatakiwa yawe na ubora sawa, kinachotofautisha ni usafirishaji wa hayo mafuta.
Kuna hizi kampuni kubwa za mafuta ambazo zina magari yao ya mafuta na kila gari ipo dedicated kubeba aina flani ya mafuta.
Na kuna zile kampuni za kuunga unga gari hilo hilo, libebe diezel, mafuta ya taa, petrol nk
Hizi ndio zina matatizo na ukiona umeweka unleaded ila gari imekuwa nzito, maana yake mafuta yanaweza yalichanganyika na mafuta mengine (petrol + Diesel) au hata Petrol + mafuta ya taa nk nk (ni kwenye usafirishaji kutoka bandarini hadi kukufikia)
Mara nyingi, haya matatizo huwezi kuyapata kwenye Kampuni hizi kubwa
 
Mimi naona nikitumia mafuta ya TOTAL ENERGIES gari inakuwa nyepesi Sana na huwa natumia kama nafanya safari ndefu.
PUMA ndiyo natumia Kwa muda mrefu nikiwa mjini kwasababu naona ulaji wa mafuta unakuwa vizuri Sana na gari inakuwa very smooth
Mkuu naomba uingie ndani kidogo kama hutojali

So kwanini hutumii total moja kwa moja au puma moja kwa moja kwa safari zote za town na masafa ? maana naona umesifia kampuni zote zipo vizuri

vipi ukitumiaga total mizunguko ya town au Puma masafa,

Personally nipo puma but i am curious kuwajaribu Oryx maana total nikiwekaga mwanzoni gari huwa nzito inabidi niizoeshe gari kwa wiki hivi
 
Mfano unapozoea kutumia mafuta ya Petrol ya kituo cha Puma aina ya Unleaed kwenda kituo cha Total wenye Petrol ya Excellium. Niliwahi kuona gari ikiwa nzito au nyepesi napobadili vituo hivyo pamoja na utofauti wa ulaji wa mafuta

Au unapobadili vituo vinavyotumia Petrol unleaded lakini kampuni tofauti, Mfano Puma na Oryx
Hapo ni issue ya compression ratios ya hayo mafuta. Hilo linawezekana kabisa
 
Mkuu naomba uingie ndani kidogo kama hutojali

So kwanini hutumii total moja kwa moja au puma moja kwa moja kwa safari zote za town na masafa ? maana naona umesifia kampuni zote zipo vizuri

vipi ukitumiaga total mizunguko ya town au Puma masafa,

Personally nipo puma but i am curious kuwajaribu Oryx maana total nikiwekaga mwanzoni gari huwa nzito inabidi niizoeshe gari kwa wiki hivi
Kwanza Kabisa kuhusu mafuta ya orxy naona bado wapo nyuma ya hawa two giants.
Mimi nimeshawahi kutumia Kwa kipindi kirefu Sana mafuta ya TOTAL ENERGIES na sijaona utofauti wowote juu ya ulaji.

Mafuta ya puma Yana asilimia 93/% ya octane huku total energy wakiwa na asilimia 95/% ya octane kwahiyo kwenye smoothness total energy itaongoza.

Kwenye ubora haya makampuni mawili wanafanana tu
 
Back
Top Bottom