Faizan
Member
- Oct 30, 2021
- 26
- 28
Katika mahusiano kukosoana hata ikiwa kwa ukali si kumshambulia mpenzi wako, bali ni kuboresha uhusiano wenu.
Lakini hili litafanikiwa pale tu utakapoweka kila kitu pahala pake, sio sehemu ya kukemea unakaa kimya sehemu ya kuongea kwa upole unafokafoka.
Kwa mtazamo wangu dondoo ni hizi hapa:
MAMBO YA KUMKARIPIA MPENZI WAKO:
1.Ukosefu wa heshima kwako au kwa watu wengine.
2.Uongo, udanganyifu, au usaliti.
3.Ukatili wa kimwili au wa maneno.
4.Matumizi mabaya ya pesa au mali.
5.Kutowajibika katika majukumu yake.
6.Kutotimiza mahitaji ya kihisia ya kila mmoja
MAMBO YA KUEPUKA KUMKARIPIA MPENZI WAKO
i: Mambo Madogo Madogo: Mfano kujisahau katika jambo fulani, Kuchelewa kurudi nyumbani mwanaume, Kuwa na hobies tofauti kuhusu muziki, filamu, au siasa.
ii. Mambo Yasiyoweza Kubadilishwa: mfano Muonekano wake wa kimwili.
Asili yake ya kijamii au kiuchumi. Familia yake au marafiki. Utani wake au hisia ya ucheshi. Mambo ya zamani ambayo hayawezi kubadilishwa.
UO NDO MWISHO WANGU bali nina MASWALI yanayozunguka kichwani.
1. Mwanamke anafaa kumkaripia mwanaume?
2. Je mahusiano yanaweza kusonga bila kukaripiana kabisa?
Lakini hili litafanikiwa pale tu utakapoweka kila kitu pahala pake, sio sehemu ya kukemea unakaa kimya sehemu ya kuongea kwa upole unafokafoka.
Kwa mtazamo wangu dondoo ni hizi hapa:
MAMBO YA KUMKARIPIA MPENZI WAKO:
1.Ukosefu wa heshima kwako au kwa watu wengine.
2.Uongo, udanganyifu, au usaliti.
3.Ukatili wa kimwili au wa maneno.
4.Matumizi mabaya ya pesa au mali.
5.Kutowajibika katika majukumu yake.
6.Kutotimiza mahitaji ya kihisia ya kila mmoja
MAMBO YA KUEPUKA KUMKARIPIA MPENZI WAKO
i: Mambo Madogo Madogo: Mfano kujisahau katika jambo fulani, Kuchelewa kurudi nyumbani mwanaume, Kuwa na hobies tofauti kuhusu muziki, filamu, au siasa.
ii. Mambo Yasiyoweza Kubadilishwa: mfano Muonekano wake wa kimwili.
Asili yake ya kijamii au kiuchumi. Familia yake au marafiki. Utani wake au hisia ya ucheshi. Mambo ya zamani ambayo hayawezi kubadilishwa.
UO NDO MWISHO WANGU bali nina MASWALI yanayozunguka kichwani.
1. Mwanamke anafaa kumkaripia mwanaume?
2. Je mahusiano yanaweza kusonga bila kukaripiana kabisa?