Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 1,886
- 4,050
Kama penzi lako wewe na huyo hacienda mpaka wewe ndio unaze kutuma sms au kupiga wewe haupo kwenye mahusiano bali unafosi.
Kama mpenzi wako ukiwa munachati inakuwa kama unamfanyia interview ya kumuuliza maswali bila yeye kukuliza wewe, kisherehesha na ku-rise kitu kipya wewe haupo kwenye mahusiano
Yaaani on huu ujinga
Mambo ~ Poa
Usharudi Job ~ Ndio
Nitapita hapo ~ Aya
Chatting Inabidi iwe hivi
Mambo ~ Poa, mzima wewe
Mzima, ushatoka job ~ Ndio, vipi wewe.
Ndio narudi, nitapitia hapo ~ Sawa, ukikaribia niambie.
Kama mpenzi wako hamuawasiliani mpaka wewe uanze piga kimya baada ya kusoma huu uzi mpaka aanze kukutafuta.
Kama mpenzi wako Chatting zake anajibu kijinga Kama unamfanyia interview mchane Kama hakuelewi piga chini.
Kama mpenzi wako ukiwa munachati inakuwa kama unamfanyia interview ya kumuuliza maswali bila yeye kukuliza wewe, kisherehesha na ku-rise kitu kipya wewe haupo kwenye mahusiano
Yaaani on huu ujinga
Mambo ~ Poa
Usharudi Job ~ Ndio
Nitapita hapo ~ Aya
Chatting Inabidi iwe hivi
Mambo ~ Poa, mzima wewe
Mzima, ushatoka job ~ Ndio, vipi wewe.
Ndio narudi, nitapitia hapo ~ Sawa, ukikaribia niambie.
Kama mpenzi wako hamuawasiliani mpaka wewe uanze piga kimya baada ya kusoma huu uzi mpaka aanze kukutafuta.
Kama mpenzi wako Chatting zake anajibu kijinga Kama unamfanyia interview mchane Kama hakuelewi piga chini.