Habari za mda tena, nawasalim kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Hivi ikitokea siku miongoni mwa siku ukajua kuwa mzee/ Bi mkubwa wako anatoka kimapenzi na mpenzi wako ambae ndiyo kwanza umeanza mahusiano muda mchache na kama ni kimasihara ushapiga mara chache.
Katika hilo ukute kama ni pesa unayotoa kwa huyo mtu wako mzee/bi mkubwa anatoa mara sita zaidi ya kile unachokitoa kwa mpenzi.
Je, mdau utachukua uamuzi gani?
Hivi ikitokea siku miongoni mwa siku ukajua kuwa mzee/ Bi mkubwa wako anatoka kimapenzi na mpenzi wako ambae ndiyo kwanza umeanza mahusiano muda mchache na kama ni kimasihara ushapiga mara chache.
Katika hilo ukute kama ni pesa unayotoa kwa huyo mtu wako mzee/bi mkubwa anatoa mara sita zaidi ya kile unachokitoa kwa mpenzi.
Je, mdau utachukua uamuzi gani?